Bill na diamond ni mbingu na ardhi , Gates ana magari , ndege na meli za ghali na anasa sana , nyumba yake yenyewe ni habari nyingine. Acha kupotosha pitia tena google kwa usahihi
Utakuwa mgeni wa mpira. Mpira ni pesa na timu nzuri ya scout kusajiri wachezaji wa maana kulingana na budget . Mengine ni mbwembwe za kuja na kuondoka . Ukitaka kujua udogo wa manara aende singida united na makelele yake na Mo aende Costal union na pesa zake uone nani ata shine. Timu...
Toka shule ya msingi tunafundishwa malaria, mpaka mitihani tunajua swali la malaria au hiv lipo. Tunajua malaria ni nini inaambukizwaje na unajikinga vp, maeneo mengi yana mabango ya malaria Tv kila muda matangazo yanapita na hii imekuwa continuous tangu zamani . Leo hii unasema Malaria...
Nyingi ni refurbished iPhones ndo zina hiyo fingerprint failure . Kumbuka ukihamisha ile home button ukaipeleka kwenye Cm nyingine imhaifanyi kazi au inaleta complications . Sasa Mchina ana refurb iPhone anaswitch hizo fingerprint home buttons mwisho wa siku hazikai.. Ukiona fingerprint failure...
Mtu yeyote anakukosoa uwe na degree Mia au Mia tano , issue ni anakukosoa kwenye kitu gani . Kujua vitu au Kuwa na ujuzi juu ya kitu Fulani hakuangalii degree . Mtu mwenye form four na physics yuko vizuri anamkosoa na kumfundisha mtu mwenye phd isiyo ya physics /science ..
iPhone refurbished ndo zinaisha chaji na ndo asilimia kubwa watu wanazo wao wanadhani ni mpya, zimejaa kkoo na kijitonyama na maeneo mengine ya nchi , hizi tunazoita full box
. Ukichukua iPhone mpya toka apple store utabadili haya uliyoandika.
AI (Artificial intelligence) zote lazima mwanadamu azi review au aingize inputs mpaka hapo zitakapokuwa perfect . Apple wamekuwa wawazi kumpa mteja uhuru wa kuchagua au kukataa.
Lakini perfection ya siri kama AI nyingine inategemea sana review ya mwanadamu.
Mwenye Spare zifuatazo za landrover freelander (1998) anichek
Kioo cha mbele
Control box
Dash board
Taa za nyumba mbili moja ya juu nyingine ya chini
Cv joint
Brake system ,
Call /Whatsap 0782 049 547
Bingwa wa haya maigizo ni undertaker [emoji23][emoji23][emoji23], anatoka mbali anamrukia adui aliye nje ya ulingo na adui anakinga mikono kumdaka then wote wanaanguka Kama wamekufa. Kale ka 619 ka ray masterio ni ka kumrusha mtu meter tano kweli 🤣🤣.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.