Diamond Platnumz – the next Bill Gates?

Utajiri wa talent na utajiri wa investment ni tofauti kabisa utajiri mmoja wapo unaambatana na ukichaa kwa sababu ubongo haukitegemea kuwa na hela.We ulimuona wapi Bill gate avae ma cheni makubwa kama mbwa,aweke ma meno kama ngili eti platinum
Kuna siku niliona clip ya ryvan ameweka vi gold kwenye meno, basi video mpaka inaisha mchizi hajafumba mdomo anajichekesha tu mwanzo mwisho ili mradi yaonekane
 
msiomuelewa MONDI mtapata tabu sanaaaaaa
Huyu kadanganywa na Mange Kimambi kua akinunua na kuonekana na magari ya mamtoni ndio Forbes watamtambua na kumuweka kwenye list yao. Forbes wana vigezo vingi wanaangalia mambo mengi ,na magari wala sio kivile; ni fuba lako in dollars na investments zako huko majuu kwa kina JP Morgan etc. Ajitahidi lakini kwa Bill Gates ni kama kulinganisha mlima na kichuguu. Alinganishwe tu kwanza na Zari The bosslady.
 
Hakuna msanii yoyote duniani awe mwanamichezo, muigizaji, mwanamuziki nk mwenye hata asilimia 10 ya utajiri wa bill gates
 
Ndugu mwandishi umemaanisha nini...?
Naona Bill gates na msanii wetu Diamond kunawimbo wanataka kutoa.🤔🤔
 
Bill gate wa kununua migari ya gharama kiasi hicho?
Matajiri wenye asili ya kizungu ukiacha waarabu hawana ulimbukeni wa kununua magari kwa bei za misifa kiasi hicho.Google uone bill gate anatumia gari gani.Ukichaa wa kununua migari ya bei kubwa wanao wakina Mayweather,50 cent,Birdman n.k wote wenye asili ya black ndo hufanya hivyo kwa sababu wamepata utajiri kwa kutunukiwa na Mungu vipaji.Ila utajiri wa wazungu wengi unatokana na matumizi ya akili na uvumbuzi
Acha fix mzee, Bill Gate ana magari zaidi ya 50 na yote yana bei mbaya ambayo hata gari moja la Diamond halifikii bei.
Uwe unagoogle kidogo kumjua bill gates dogo.
 
Na gari za Bill Gate ni limited edition tu, yani ambazo zinatengenezwa mfano 50 na zikiuzwa zikiisha ndio nitolee hiyo.
 
Bila watu wapuuzi kama nyie leo bangi ingekuwa halali tunaivuta tu mitaani
 

Diamond Platinumz had just taken delivery of a brand new Rolls Royce when I spoke to him – it’s a blue Cullinan, latest model.

It’s the first of its kind in Tanzania and when Diamond took it on its maiden voyage you can imagine the reaction.

“To me it’s not just my car, it’s our car. Whoever has supported me, let’s celebrate our achievement,” he said.

Diamond was beaten at the recent BET awards in the US by Burna Boy, but it was the Tanzanian artist's picture that was all over because of his Maasai traditional outfit.

In the US he was also recording a new album whose executive producer is American and features American artists.

He posted pictures on his social media of himself with Busta Rhymes, Swizz Beats and Diddy, amongst others.

Not everyone was supportive of Diamond’s US trip. Some of his countrymen said he didn’t deserve the BET nomination because of his unapologetic support of Tanzania’s Covid-denying former President John Magufuli. But Diamond is not fazed by his critics and says he "doesn't take it personally".

Diamond was asked to stand as a member of parliament but he says "it's not his thing".

So where does Diamond see himself in 10 years’ time?

“I always wanted to prove a point to the African youth that you can use music in a very positive way, using music to employ more people, and becoming one of the richest people in the world - like Jeff Bezos or Bill Gates,” he said.

So will Diamond be flying into space? Or spending his money on causes he believes in? Will he be Jeff Bezos or Bill Gates?

“Neither of them. Better than them!”

“I don’t see myself flying to the moon because I am scared of flying. I’ll be empowering the youth. What makes me happy is when I hear someone say it’s because of Diamond that I am here today,” he said.
Hata jay z na dr dre katu hawawalinganishi na akina billgates maana wale wana ligi yao wenyewe
 
Bill gate wa kununua migari ya gharama kiasi hicho?

Matajiri wenye asili ya kizungu ukiacha waarabu hawana ulimbukeni wa kununua magari kwa bei za misifa kiasi hicho.Google uone bill gate anatumia gari gani.Ukichaa wa kununua migari ya bei kubwa wanao wakina Mayweather,50 cent,Birdman n.k wote wenye asili ya black ndo hufanya hivyo kwa sababu wamepata utajiri kwa kutunukiwa na Mungu vipaji.Ila utajiri wa wazungu wengi unatokana na matumizi ya akili na uvumbuzi

Bill na diamond ni mbingu na ardhi , Gates ana magari , ndege na meli za ghali na anasa sana , nyumba yake yenyewe ni habari nyingine. Acha kupotosha pitia tena google kwa usahihi
 

Diamond Platinumz had just taken delivery of a brand new Rolls Royce when I spoke to him – it’s a blue Cullinan, latest model.

It’s the first of its kind in Tanzania and when Diamond took it on its maiden voyage you can imagine the reaction.

“To me it’s not just my car, it’s our car. Whoever has supported me, let’s celebrate our achievement,” he said.

Diamond was beaten at the recent BET awards in the US by Burna Boy, but it was the Tanzanian artist's picture that was all over because of his Maasai traditional outfit.

In the US he was also recording a new album whose executive producer is American and features American artists.

He posted pictures on his social media of himself with Busta Rhymes, Swizz Beats and Diddy, amongst others.

Not everyone was supportive of Diamond’s US trip. Some of his countrymen said he didn’t deserve the BET nomination because of his unapologetic support of Tanzania’s Covid-denying former President John Magufuli. But Diamond is not fazed by his critics and says he "doesn't take it personally".

Diamond was asked to stand as a member of parliament but he says "it's not his thing".

So where does Diamond see himself in 10 years’ time?

“I always wanted to prove a point to the African youth that you can use music in a very positive way, using music to employ more people, and becoming one of the richest people in the world - like Jeff Bezos or Bill Gates,” he said.

So will Diamond be flying into space? Or spending his money on causes he believes in? Will he be Jeff Bezos or Bill Gates?

“Neither of them. Better than them!”

“I don’t see myself flying to the moon because I am scared of flying. I’ll be empowering the youth. What makes me happy is when I hear someone say it’s because of Diamond that I am here today,” he said.
nyie ndio mnaomfanya magodoro aka sadala achukiwe saa hizi

kijinga jinga anaachwa
 
Badilisha hapo kichwa cha habari kiwe; DIAMOND - THE NEXT ZARI THE BOSSLADY😂😂😂😂😂😂
maana wote wana ulimbukeni wa magari acha kumlinganisha akili kubwa Bill Gates na hii mbuzi.
kama kina MONDI ni mbuzi sipati picha wewe utakuwa ni kidubwarika gani walai 😂 👹👉👹👹
 
Huyo mashudu ya alizeti hamna kitu. Ali kiba ana hela sema hapendagi show off tu ni level za Bezos na Elon
 
Huyu jamaa ni jamii ya wale utakuta kanyoa kiduku kina virasta ivi, kavaa kisuruali na kitishirt vimebana tena kavalia chini ya makalio, amevaa licheni likubwaa na mipete vidoleni najaribu kumzoom kwenye lensi 🤣🤣
 
Hata vaa yao ya kawaida tu, nakumbuka mwaka jana watu walikua wana hoji kwanini mark zackberg anavaa tshirt ya aina moja kila siku

Watu walitegemea kwasababu jamaa ni bilionea basi atavaa mi gold suti ya kiwango cha huu cha mwisho lakini jamaa laiwakumbusha kua lengo sio kuonekana tajiri lengo ni kua tajiri

Hey jamaa sio kwamba hawavai gharama hebu cheki nguo wanazovaa kisha naenda pale Mliman city kaulizie bei.
Kwao wanachokifanya ni nguo ya aina fulani wanakua nazo nyingi wewe utahisi anarudia ila ukweli anakua nazo nyingi ndio wazungu wanafanya, pia wakiwa nchini mwao haswa maofisini wanatupia sana inafaa kujua alikua kwenye matembezi au ofisini
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom