Mwakyembe kakosa nini?

Mwakyembe kakosa nini?

Hi everyone in here!

Bila kupindapinda nasema hivi: Watanzania wengi hasa hasa maskini na wasio na elimu dunia wanasumbuliwa na complex inferiority yaani umaskini wao na udogo wa elimu yao unawafanya wawaone matajiri na wenye elimu kama maadui. Kwa tabia hizi tutafikia kweli uchumi wa viwanda?

Juzi hapa nimepost kuhusu uncle wangu aliyechanganyikiwa. Huwezi amini moderators wakatoa wakauamisha uzi wangu na kuupeleka kwenye jukwaa la utani. Eti hawaamini kuwa yale ni maisha ambayo watanzania wanaishi. Wanakataa kuwa kuna shule za nursery watoto wanalipa milioni 27 kwa mwaka! Tutafika tuendako kweli?

Juzi Mheshimiwa Mwakyembe amesema hawezi kukosololewa na MTU wa elimu ndogo kwa kuwa yeye ni msomi wa degree nne. Watu wamepanic wametukana hadi wanatia huruma.

Akilini nikajiuliza kama degree nne wanatukana, vipi Mzee wangu Rutashoborwa mwenye degree 7 na anampango wa kuongeza tatu, siku akiitisha press conference na kusema hivyo so nchi itamtenga.

Mimi binafsi, sijaona kosa la Mwakyembe, degree nne ni za kwake, darasa la saba ni la kwako. Kila mtu ana uwezo wake na tuuheshimu.

Tukiheshimiana tutapendana, tukipendana tutaheshimiana.

Jambo Tanzania.
Aliyoonesha mwenye shahada nne ni heshima?
 
Angesema anasumbuliwa na mahusiano kwa miaka minne. Hapo ingekuaje?
Tafuta zako na wewe ile complex inferiority ikutoke.
Mkuu hatuna complex inferiority,tuna
Inferiority complex,na kinyume n
Superiority complex,acha kufany swtching ambacho hata hujui maana yake
 
Hi everyone in here!

Bila kupindapinda nasema hivi: Watanzania wengi hasa hasa maskini na wasio na elimu dunia wanasumbuliwa na complex inferiority yaani umaskini wao na udogo wa elimu yao unawafanya wawaone matajiri na wenye elimu kama maadui. Kwa tabia hizi tutafikia kweli uchumi wa viwanda?

Juzi hapa nimepost kuhusu uncle wangu aliyechanganyikiwa. Huwezi amini moderators wakatoa wakauamisha uzi wangu na kuupeleka kwenye jukwaa la utani. Eti hawaamini kuwa yale ni maisha ambayo watanzania wanaishi. Wanakataa kuwa kuna shule za nursery watoto wanalipa milioni 27 kwa mwaka! Tutafika tuendako kweli?

Juzi Mheshimiwa Mwakyembe amesema hawezi kukosololewa na MTU wa elimu ndogo kwa kuwa yeye ni msomi wa degree nne. Watu wamepanic wametukana hadi wanatia huruma.

Akilini nikajiuliza kama degree nne wanatukana, vipi Mzee wangu Rutashoborwa mwenye degree 7 na anampango wa kuongeza tatu, siku akiitisha press conference na kusema hivyo so nchi itamtenga.

Mimi binafsi, sijaona kosa la Mwakyembe, degree nne ni za kwake, darasa la saba ni la kwako. Kila mtu ana uwezo wake na tuuheshimu.

Tukiheshimiana tutapendana, tukipendana tutaheshimiana.

Jambo Tanzania.

Mtu yeyote anakukosoa uwe na degree Mia au Mia tano , issue ni anakukosoa kwenye kitu gani . Kujua vitu au Kuwa na ujuzi juu ya kitu Fulani hakuangalii degree . Mtu mwenye form four na physics yuko vizuri anamkosoa na kumfundisha mtu mwenye phd isiyo ya physics /science ..
 
Hi everyone in here!

Bila kupindapinda nasema hivi: Watanzania wengi hasa hasa maskini na wasio na elimu dunia wanasumbuliwa na complex inferiority yaani umaskini wao na udogo wa elimu yao unawafanya wawaone matajiri na wenye elimu kama maadui. Kwa tabia hizi tutafikia kweli uchumi wa viwanda?

Juzi hapa nimepost kuhusu uncle wangu aliyechanganyikiwa. Huwezi amini moderators wakatoa wakauamisha uzi wangu na kuupeleka kwenye jukwaa la utani. Eti hawaamini kuwa yale ni maisha ambayo watanzania wanaishi. Wanakataa kuwa kuna shule za nursery watoto wanalipa milioni 27 kwa mwaka! Tutafika tuendako kweli?

Juzi Mheshimiwa Mwakyembe amesema hawezi kukosololewa na MTU wa elimu ndogo kwa kuwa yeye ni msomi wa degree nne. Watu wamepanic wametukana hadi wanatia huruma.

Akilini nikajiuliza kama degree nne wanatukana, vipi Mzee wangu Rutashoborwa mwenye degree 7 na anampango wa kuongeza tatu, siku akiitisha press conference na kusema hivyo so nchi itamtenga.

Mimi binafsi, sijaona kosa la Mwakyembe, degree nne ni za kwake, darasa la saba ni la kwako. Kila mtu ana uwezo wake na tuuheshimu.

Tukiheshimiana tutapendana, tukipendana tutaheshimiana.

Jambo Tanzania.
Wewe pia unaamini kuwa mtu mwenye PhD hawezi kosolewa na std 7?
 
Sasa kipi alichofanya mheshimiwa Mwakyembe mpaka ikilinganishe na kunya kwenye kituo cha mabasi?
6 PH.D,704 MASTERS HOLDERS AMONG APPLICANTS FOR DRIVERS JOB IN DANGOTE.

ON NOVEMBER 5, 2012 72:00 AMIN NEWS, TOP STORIESBY VANGUARD

LAGOS — The ugly unemployment statistics of Nigeria has been highlighted by the number of applications from higher degree and first degree holders who sought employment as drivers in Dangote group. The staggering figure stands at 13,000.

Of the 13,000 applications received by the Dangote Group for the Graduate Executive Truck Driver, there were six Ph.D, 704 Masters and over 8,460 Bachelor degree holders.

Speaking during the mentor-ship meeting of the World Bank Youth Forum, Chairman of Dangote Group, Aliko Dangote, said that the company only needed 100 drivers, but received the overwhelming applications.

According to Dangote, most of the applicants were from reputable universities and had the needed quality

He said: “All these things are verifiable, and they all graduated from reputable institutions which is satisfactory; and our plan is to eventually make them self dependant.

“Despite the fact that the drivers get trip allowances on each trip along with their salaries, the arrangement is that they will own the trucks at no interests or repayments after they must have reached 300,000 kilometres, which is about 140 trips from Lagos to Kano and a hard working driver can complete in two years, while lazy ones can take maximum of four years.”

Analysts believe that the three tiers of government have not done enough to create employment or create enabling environment for the organised private sector to employ more Nigerians.

In a growing economy, it is rather shocking that Ph.D and Masters degree holders are seeking placement as drivers.

Martin Onyilokwu of Media Development Initiative believes that the revelation is a wake up call for government to go beyond rhetoric and start the implementation of credible programmes to improve the living condition of Nigerians.

He said:“It is no longer enough to claim that the economy is growing by this or that per cent. The truth of the matter is that Nigeria is not witnessing appreciable development. We have a situation where the living standard of the people is at an all time low as exemplified by insecurity, poverty, unemployment, massive corruption, executive and legislative recklessness. There is a need for government to wake up to its responsibility.”

It would be recalled that in the course of last week, thousands of young graduates staged protests at the Ministry of Interior in Abuja when officials denied them access to submit application forms. The ministry has since claimed that no employment was on-going.

Wherever rumour of employment is circulated, thousands of duly qualified candidates turn up to participate.

Source:6 Ph.D, 704 Masters holders among applicants for drivers job in Dangote - Vanguard News
 
Hi everyone in here!

Bila kupindapinda nasema hivi: Watanzania wengi hasa hasa maskini na wasio na elimu dunia wanasumbuliwa na complex inferiority yaani umaskini wao na udogo wa elimu yao unawafanya wawaone matajiri na wenye elimu kama maadui. Kwa tabia hizi tutafikia kweli uchumi wa viwanda?

Juzi hapa nimepost kuhusu uncle wangu aliyechanganyikiwa. Huwezi amini moderators wakatoa wakauamisha uzi wangu na kuupeleka kwenye jukwaa la utani. Eti hawaamini kuwa yale ni maisha ambayo watanzania wanaishi. Wanakataa kuwa kuna shule za nursery watoto wanalipa milioni 27 kwa mwaka! Tutafika tuendako kweli?

Juzi Mheshimiwa Mwakyembe amesema hawezi kukosololewa na MTU wa elimu ndogo kwa kuwa yeye ni msomi wa degree nne. Watu wamepanic wametukana hadi wanatia huruma.

Akilini nikajiuliza kama degree nne wanatukana, vipi Mzee wangu Rutashoborwa mwenye degree 7 na anampango wa kuongeza tatu, siku akiitisha press conference na kusema hivyo so nchi itamtenga.

Mimi binafsi, sijaona kosa la Mwakyembe, degree nne ni za kwake, darasa la saba ni la kwako. Kila mtu ana uwezo wake na tuuheshimu.

Tukiheshimiana tutapendana, tukipendana tutaheshimiana.

Jambo Tanzania.
Hili suala la kuruhusiwa kutumia ID fiche hapa JF lisitufanye tutumie majina ya makabila yasiyotuhusu. Haiwezekani Mhaya akawa Popoma kiasi hiki.
 
Hi everyone in here!

Bila kupindapinda nasema hivi: Watanzania wengi hasa hasa maskini na wasio na elimu dunia wanasumbuliwa na complex inferiority yaani umaskini wao na udogo wa elimu yao unawafanya wawaone matajiri na wenye elimu kama maadui. Kwa tabia hizi tutafikia kweli uchumi wa viwanda?

Juzi hapa nimepost kuhusu uncle wangu aliyechanganyikiwa. Huwezi amini moderators wakatoa wakauamisha uzi wangu na kuupeleka kwenye jukwaa la utani. Eti hawaamini kuwa yale ni maisha ambayo watanzania wanaishi. Wanakataa kuwa kuna shule za nursery watoto wanalipa milioni 27 kwa mwaka! Tutafika tuendako kweli?

Juzi Mheshimiwa Mwakyembe amesema hawezi kukosololewa na MTU wa elimu ndogo kwa kuwa yeye ni msomi wa degree nne. Watu wamepanic wametukana hadi wanatia huruma.

Akilini nikajiuliza kama degree nne wanatukana, vipi Mzee wangu Rutashoborwa mwenye degree 7 na anampango wa kuongeza tatu, siku akiitisha press conference na kusema hivyo so nchi itamtenga.

Mimi binafsi, sijaona kosa la Mwakyembe, degree nne ni za kwake, darasa la saba ni la kwako. Kila mtu ana uwezo wake na tuuheshimu.

Tukiheshimiana tutapendana, tukipendana tutaheshimiana.

Jambo Tanzania.
Kosa sio degree nne , shida ni Kubeza kuwa hawezi kushauriwa kwa lolote na asiyesoma! Kiburi cha uzima
 
Hi everyone in here!

Bila kupindapinda nasema hivi: Watanzania wengi hasa hasa maskini na wasio na elimu dunia wanasumbuliwa na complex inferiority yaani umaskini wao na udogo wa elimu yao unawafanya wawaone matajiri na wenye elimu kama maadui. Kwa tabia hizi tutafikia kweli uchumi wa viwanda?

Juzi hapa nimepost kuhusu uncle wangu aliyechanganyikiwa. Huwezi amini moderators wakatoa wakauamisha uzi wangu na kuupeleka kwenye jukwaa la utani. Eti hawaamini kuwa yale ni maisha ambayo watanzania wanaishi. Wanakataa kuwa kuna shule za nursery watoto wanalipa milioni 27 kwa mwaka! Tutafika tuendako kweli?

Juzi Mheshimiwa Mwakyembe amesema hawezi kukosololewa na MTU wa elimu ndogo kwa kuwa yeye ni msomi wa degree nne. Watu wamepanic wametukana hadi wanatia huruma.

Akilini nikajiuliza kama degree nne wanatukana, vipi Mzee wangu Rutashoborwa mwenye degree 7 na anampango wa kuongeza tatu, siku akiitisha press conference na kusema hivyo so nchi itamtenga.

Mimi binafsi, sijaona kosa la Mwakyembe, degree nne ni za kwake, darasa la saba ni la kwako. Kila mtu ana uwezo wake na tuuheshimu.

Tukiheshimiana tutapendana, tukipendana tutaheshimiana.

Jambo Tanzania.
Kosa sio degree nne , shida ni Kubeza kuwa hawezi kushauriwa kwa lolote na asiyesoma! Kiburi cha uzima
 
Kosa sio degree nne , shida ni Kubeza kuwa hawezi kushauriwa kwa lolote na asiyesoma! Kiburi cha uzima
Mkuu acha fikra za kimaskini.

MTU kusema ana degree NNE ni dhambi?

Kwa akili zako darasa la saba atamwambia nini PhD holder katika fani yake?

Jaribu kuhusisha context kabla ya kuhukumu.
 
Back
Top Bottom