Recent content by Trackit

  1. T

    Rais Kikwete aanza kujibu meseji za pole alizotumiwa

    Pole ya nini? muhimbili hakuna dawa,makontena yadaa yamezuiwa bandarini yeye kaenda tibiwa marekani kwa mamilioni ya kodi zetu sie tunakufa haina maana.
  2. T

    CHADEMA Yaanza Operesheni PAMOJA DAIMA: Helkopta tatu Kutumika!

    Nguvu ya umma yaweza tuko tayari kufa kwa ajili ya kuchangia hii Operesheni ya PAMOJA DAIMA (Tafakari chukua hatua)
  3. T

    CHADEMA Yaanza Operesheni PAMOJA DAIMA: Helkopta tatu Kutumika!

    Hapo ndio ninapoikubali Chadema operesheni sangara ilifichua mafisadi m4c imewangao mamluki sasa ni Damoja Daima paka kieleweke 2015
  4. T

    Anaswa na Madawa ya Kulevya Uwanja wa Ndege Dar

    Tatizo wahusika wanajulikana ila hakuna wa kuwakamata. Kazi kudili na vifaranga tu!
  5. T

    Baada ya Kutoswa Uwaziri: Shamsi aungana na wazanzibari wanaotaka Mamlaka Kamili ya nchi yao...

    Si mwelewi huyu jamaa !alikua wapi siku zote?------- sana
  6. T

    Bosi kanilengesha kwa binti yake sasa nashindwa kuamua

    usipoteze muda kama anasifa unazopenda we jitose tangaza nia
  7. T

    Utafiti: Wasio na elimu waongoza kumpenda Rais Jakaya Kikwete

    Hi ni kweli bila hata utafiti ndivyo ilivyo ,Hata CCM kimebaki chama cha wasio kua na Elimu na wazee wenye maslahi binafsi
  8. T

    Sheria ya Mafao miaka 55, wafanyakazi wamehusishwa?

    Kwanza huu ni wizi ,kwanini unipangie namna ya kutumia pesa zangu? Je maisha ya mtanzania ni miaka 55?je wafanyakazi wanamkata na Mungu wa kuishi Miaka 55-60? Hakika nashaka na hii mifuko,mwaka 2015 lazima kieleke kama watapitisha hii sheria ya kuiba mafao ya watu.CHADEMA mpoo!!!!!!!!!!
  9. T

    Nape ana wadhifa gani SERIKALINI?

    ewe mwenyezimungu zidi kuwasambaratisha hawa wanaotutawala bila hiyari yetu,okoa taifa lako kwani linaangamia na uongozi wa mafisadi
  10. T

    Zitto na Halima wamwita January Makamba mnafiki

    Ni kweli nami naungana na zito na halima Mtoto wa nyoka ni nyoka
  11. T

    Zitto na Halima wamwita January Makamba mnafiki

    Tangu lini nyoka akawa chura? January Makamba ni walewale hawafai hatakidogo ni porojo tu! hana jema na nchi yetu kwani si umeona babayake alivyoua chama?
  12. T

    CDM imenipa ubunge A.Mashariki-Makongoro Nyerere

    Huyu jamaa nimsemkubali na hababaishwi na chama chake so kipitup au kama vipi tunakukaribisha CDM
  13. T

    Kutoka Bungeni - Jumamosi 21, Aprili 2012 (Videos)

    sawa mkuu tuabarishe
Back
Top Bottom