nice 2
JF-Expert Member
- Aug 10, 2011
- 747
- 520
Katika pita pita zangu uko twitter nimekutana na ujumbe huu toka kwa Zitto Kabwe na Halima mdee kwenda kwa January Makamba...
Tweet from Zittokabwe
------------------------
Ni rahisi sana kujua waliotayari kuwa nje ya comfort zone. @JMakamba anaogopa chama chake. Hajui wajumbe kadhaa wa chama chake wamesaini
Tweet from Zittokabwe
------------------------
Zittokabwe: dinahicious this is not #publicitystunt , this is #Accountability wenye nia ya dhati ya kupambana na ubadhirifu watasaini. #Tusiyumbishwe
Tweet from Zittokabwe
------------------------
Zittokabwe: Kanuni zinataka kukusanya sahihi. #sahihi70 tunazipeleka j3 kwa Spika. Uongozi ni utayari na ujasiri. Unafiki ni hatari sana @JMakamba
Tweet from Zittokabwe
------------------------
Zittokabwe: Ni rahisi sana kujua waliotayari kuwa nje ya comfort zone. @JMakamba anaogopa chama chake. Hajui wajumbe kadhaa wa chama chake wamesaini
Tweet from halimamdee
------------------------
halimamdee: huna hizo guts.. whether usign now or later it does not make any difference! Cause kanuni wala katiba haisemi usign lini..
Tweet from halimamdee
------------------------
halimamdee: Zittokabwe @JMakamba sema lugha nyepesi.... ni mnafiki kwani hayuko humu? Hajui wenzake wamesign? Hili suala sio la chama!
Tweet from halimamdee
------------------------
halimamdee: @JMakamba kwa hiyo kusema analeta jumatatu ndio kuinvalidate hoja hata kama jumatatu haijafika? Behave kama kijana!
Tweet from halimamdee
------------------------
halimamdee: JohanesEdson dinahicious Zittokabwe January... ni mnafiki. Najua ananisoma now...
Tweet from halimamdee
------------------------
halimamdee: Eti anahoji uhalali wa kukusanya sahihi! I used to respect this guy.. anaanza nitia mashaka! Nahisi hajui kanuni!
Tweet from Zittokabwe
------------------------
Ni rahisi sana kujua waliotayari kuwa nje ya comfort zone. @JMakamba anaogopa chama chake. Hajui wajumbe kadhaa wa chama chake wamesaini
Tweet from Zittokabwe
------------------------
Zittokabwe: dinahicious this is not #publicitystunt , this is #Accountability wenye nia ya dhati ya kupambana na ubadhirifu watasaini. #Tusiyumbishwe
Tweet from Zittokabwe
------------------------
Zittokabwe: Kanuni zinataka kukusanya sahihi. #sahihi70 tunazipeleka j3 kwa Spika. Uongozi ni utayari na ujasiri. Unafiki ni hatari sana @JMakamba
Tweet from Zittokabwe
------------------------
Zittokabwe: Ni rahisi sana kujua waliotayari kuwa nje ya comfort zone. @JMakamba anaogopa chama chake. Hajui wajumbe kadhaa wa chama chake wamesaini
Tweet from halimamdee
------------------------
halimamdee: huna hizo guts.. whether usign now or later it does not make any difference! Cause kanuni wala katiba haisemi usign lini..
Tweet from halimamdee
------------------------
halimamdee: Zittokabwe @JMakamba sema lugha nyepesi.... ni mnafiki kwani hayuko humu? Hajui wenzake wamesign? Hili suala sio la chama!
Tweet from halimamdee
------------------------
halimamdee: @JMakamba kwa hiyo kusema analeta jumatatu ndio kuinvalidate hoja hata kama jumatatu haijafika? Behave kama kijana!
Tweet from halimamdee
------------------------
halimamdee: JohanesEdson dinahicious Zittokabwe January... ni mnafiki. Najua ananisoma now...
Tweet from halimamdee
------------------------
halimamdee: Eti anahoji uhalali wa kukusanya sahihi! I used to respect this guy.. anaanza nitia mashaka! Nahisi hajui kanuni!