Acha hizo wewe wabunge wa magamba a.k.a wagonga meza wanaweza kumshirikisha mtu katika maslahi yao kweli??Think twice!!
Vipi KIJOME huwezi kuangalia mbali zaidi ya UREFU WA PUA yako? Kitendo tu cha kumpigia kura mbunge wa Magamba tayari umeshirikishwa. Sema jingine? haiwezekani Watanzania wote twende Dodoma, ndiyo maana tunachagua wawakilishi aka Wabunge. Hautuwezi wafanyakazi wote kwenda SSRA kujadili hiyo hoja, ndiyo maana tuna viongozi wa TUCTA.
Make no Mistake mimi napinga sheria hii mbovu. Lakini utetezi wa KUTOSHIRKISHWA ni utetezi ambao hauna mashiko because TUCTA na Wabunge wameshirikishwa hadi kupatikana kwa sheria hii.