CHAMVIGA
JF-Expert Member
- Oct 5, 2012
- 7,687
- 2,238
Mbona wana uwezo huo wa kuwa kamili !!!
Hata mimi sijui kwanini hawajaamua.
CHAMVIGA hebu washauri wasije katika bunge la katiba, kila kitu kitakuwa kimeishia hapo.
Umewasikia wenyewe wanasema wanaogopa gharama, sasa hapo nani amewang'ang'ania?
Kaka mkuu najua unajua vizuri sana habari za huu uitwao muungano. Tanganyika ndio iliyoomba uwenza na Zanzibar na wala sio Zanzibar kuomba uwenza na sisi. Kwa logic hiyo ndogo tu unapata picha kuwa Tanganyika iliutaka uwenza huu kimkakati na probably Tanganyika ndio inafaidi uwenza huu. Kisha ili kuhakikisha muungano huu haufi ndipo siasa zinachukua nafasi yake. Karibia asilimia 90 ya viongozi wa SMZ wanaokuwa madarakani wanafanyakazi kwa maagizo kutoka Tanganyika. Wachache wanaoamua kusimama na kuonyesha misimamo yao ya kuitaka nchi yao yenye mamlaka kamili ndio hao wanashughulikiwa mapema kabla hawajaota pembe. Yuko wapi Jussa, Mansour na wengineo waliotaka kuchezea sharabu za Simba? I wish watanganyika nasisi tungeandamana nchi nzima kushikiniza hili dubwasha linaloleta malalamiko kila uchwao linakufa.