Natafuta mchumba mstaarabu na anayaejielewa ambaye baadae baaada ya kufahamiana na kujuana tabia na misimamo tukiridhiana tuoane.
Vigezo ni tabia njema, sichagui umri wala kabila wala dini, mimi niko miaka ya 30 naenda 40, hivyo kwanzia miaka 20 mpaka 40 haina tatizo.
Anayehitaji ani pm au...
mjini inakuwa kinyume , mke anakimbia badala ya kuanza kuishi maisha ya kujibana anakimbia maana jiji la watu wengi tofauti anatafuta wenye nazo aendelee kujipodoa
Miaka hii miwili kwa mji wa Dar inaonekana wanawake wameongeza tabia ya kukimbia waume zao. Wengi wao hukimbia pale mume anapoachishwa kazi au biashara kufilisika kutokana na hali ya uchumi ya kipindi hiki kwa serikali zetu,
Na mara nyingi kukimbia kumekuwa sio kwa wema kwamba mke hata...
wanaweza kupeleka hoja bungeni, lakini hawawezi kuipitisha.kuipitisha inahitaji kura 75% za ndio. na wenyewe hawafiki hata 30% ya wabunge wote. yaani za wana ccm zinafikka 75%.ni mchezo wa kuigiza
kukimbiwa na mwanamke ni jambo la kawaida usichanganyikiwe.tafuta pesa ukishakuwa na mzunguko wa hela owa mwingine na uwe makini na wanawake ,waamini lakini usipitilize
Ni wengi wamekutana na hali kama yake, na mwaka jana seriakali yenyewe haijaajiri wako waalimu na madaktari awamu tatu hawajapangiwa kazi na ni fani nyeti achilia mbali sheria ambayo sio sensitive kwenye huduma za jamii kama madaktari na waalimu.
kilio chake ni kukimbiwa na mke. swala ambalo...
huyu stori yake ni ya kweli, alipata mtoto kabla ya kuanza chua akibangaiza na mke kumuelewa alipoanza kupata mkopo chuo akaishi na mkewe miaka minne ya chuo wakapata watoto wawili na kuwa watatu mke akijibana walau wanayo ela ya kula elfu 7 kwa siku na ndugu wanakujua bado mwanafunzi...
mchepuko unatakiwa kuabiwa ukweli.mke unamficha.hapo ndio burudani ya kuchepuka utaiona.
maana hata mke akikukagua na kumpigia mchepuko,mchepuko unampooza kuwa na rafiki wa kawaida wa kazini au kibiashara.hapo inakuwa burudani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.