Uhakiki wa vyeti wanikosesha kazi na wasababisha mke wangu kuniacha

Nimetumia akili. Haiingii akilini MTU kulalamikia vtu hewa. Huyu amekaa kazini mwezi mmoja tu. Maanake alishazoea kuishi na mkewe bila ajira. Leo vp aseme mke hamtaki kwa sababu amesimamishwa kazi? Anashindwaje kulea watoto wakati aliishije nao hata kabla ya kupata ajira. Acha upimbi, tunataka JF itupe maarifa na mitazamo chanya na siyo pumba za kuachwa na mke eti kisa serikali. Aseme tu aliachwa kwa sababu ni BUSHOKE . kwani wangapi hawana ajira iwe hawakuajiriwa kabisa au walifukuzwa kazi kwa sababu mbalimbali na bado wanaishi na wenza wao vizuri. Mimi mwenyewe ni mhanga wa hilo zoezi kwa namna tofauti kidogo na yeye. Huyu atakuwa wa upinzani tu. Kwa heri!!!!!
 
Wewe umeona matiti tu? Dumu zigo wee! Ulizoea kulishwa na mwanamke imekula kwako utakoma ubitoz tu. Huku ajiriwa wala nini ni uzushi ndyo maana hata kijijini kwenu wamekushtukia
f6bd14f8643158a918011fa22dcd5fcd.jpg
?

Haya majina aliniita baba yako kazini jitu kubwa akili kijiko Malaya wa buguruni
 
samahani mkuu hii story ni ya kutunga au umeamua kuongeza chuumvi ukaharibu..... okey mwanaume halii huwa anatafuta kwa udi na uvumba familia lazima isimame
huyu stori yake ni ya kweli, alipata mtoto kabla ya kuanza chua akibangaiza na mke kumuelewa alipoanza kupata mkopo chuo akaishi na mkewe miaka minne ya chuo wakapata watoto wawili na kuwa watatu mke akijibana walau wanayo ela ya kula elfu 7 kwa siku na ndugu wanakujua bado mwanafunzi hawakusumbui.

shuguli ikaanza baada ya kumaliza chuo,miezi kadhaa bila ajira hapo amejulikana sio mwanafunzi tena kwenye jamii ndugu zake na wakwe wanajua hivyo,ajira aliyoipata nayo ikawa kama kumvuruga kichwa sasa hana hata mtu wa kumpiga mzika kama alivyokuwa mwanafunzi anaweza hata waambia home wakauza hata kuku,sasa atawaambia nini na mpaka lini?

anachotakiwa kujua hali yake ni wengi wanapitia hasa serikali hii upungufu wa ajira umeongezeza na sekta binafsi imepunguza sana wafanyakazi.

awe na matumaini na asiangalie elimu sana afanye chochote cha kuingiza mkono kinywani hata kazi ya kupiga viatu rangi stendi huku akiendelea kubahatisha ajira sekta binafsi na serikali.

Na hilo la mke kukimbia ni kawaida sana wanawake wamekuwa wadhaifu sana na wengi hujiopeleka kwa wanachuo kwa lengu la maisha mazuri hivyo LISIMCHANGANYE. huyo mkewe atambue alikuwa na malengo binafsi ya maisha ya juu ambayo kaona hayapo hivyo atafute mke mwingine
 
huyu stori yake ni ya kweli, alipata mtoto kabla ya kuanza chua akibangaiza na mke kumuelewa alipoanza kupata mkopo chuo akaishi na mkewe miaka minne ya chuo wakapata watoto wawili na kuwa watatu mke akijibana walau wanayo ela ya kula elfu 7 kwa siku na ndugu wanakujua bado mwanafunzi hawakusumbui.

shuguli ikaanza baada ya kumaliza chuo,miezi kadhaa bila ajira hapo amejulikana sio mwanafunzi tena kwenye jamii ndugu zake na wakwe wanajua hivyo,ajira aliyoipata nayo ikawa kama kumvuruga kichwa sasa hana hata mtu wa kumpiga mzika kama alivyokuwa mwanafunzi anaweza hata waambia home wakauza hata kuku,sasa atawaambia nini na mpaka lini?

anachotakiwa kujua hali yake ni wengi wanapitia hasa serikali hii upungufu wa ajira umeongezeza na sekta binafsi imepunguza sana wafanyakazi.

awe na matumaini na asiangalie elimu sana afanye chochote cha kuingiza mkono kinywani hata kazi ya kupiga viatu rangi stendi huku akiendelea kubahatisha ajira sekta binafsi na serikali.

Na hilo la mke kukimbia ni kawaida sana wanawake wamekuwa wadhaifu sana na wengi hujiopeleka kwa wanachuo kwa lengu la maisha mazuri hivyo LISIMCHANGANYE. huyo mkewe atambue alikuwa na malengo binafsi ya maisha ya juu ambayo kaona hayapo hivyo atafute mke mwingine
at list umemsaidia kueleweka japo yeye anatoa majibu ya shombo
 
Acha kujipendekeza kwa madem wew
Hahahahah ukome kulialia utaolewa wewe... Ulishindwa kummudu mkeo vizuri kama mahitaji muhimu na hata kumfikisha mkeo pale juu.. Ndo maana kaenda kwa wanaume na sio kwenu nyinyi vivulana kazi kulalamika tu hata kumridhisha mkeo unalaumu serikali boya wewe
 
Hahahahah ukome kulialia utaolewa wewe... Ulishindwa kummudu mkeo vizuri kama mahitaji muhimu na hata kumfikisha mkeo pale juu.. Ndo maana kaenda kwa wanaume na sio kwenu nyinyi vivulana kazi kulalamika tu hata kumridhisha mkeo unalaumu serikali boya wewe
Wanaume wa dar
 
aometimea tuache uongo wa kitoto kama ajika uliitumikia mwezi tuu ina maana kabla ya kuwa nayo tayal ulikuwa na familia so kabla ya kaz mliishi vp....tuache kutumia points za kitoto tunapodai haki zetu vingnevo tutapuuzwa hadi siku ya hukumu!
hainiingii akilin et watoto watatu wote ulipata ndani ya mwezi mmoja wa kazi!
 
at list umemsaidia kueleweka japo yeye anatoa majibu ya shombo
Ni wengi wamekutana na hali kama yake, na mwaka jana seriakali yenyewe haijaajiri wako waalimu na madaktari awamu tatu hawajapangiwa kazi na ni fani nyeti achilia mbali sheria ambayo sio sensitive kwenye huduma za jamii kama madaktari na waalimu.

kilio chake ni kukimbiwa na mke. swala ambalo anapaswa kuelewa kuwa wanawake wengine wanakuwaga na malengo yao binafsi na kama kakukimbia kwenye shida unajutia kula naye hela za mkopo na ujana unatakiwa kuachana nalo hilo wazo na kutafuta mke mwingine MBONA WANAWAKE WENGI SANA WANAKESHA KUOMBA WAOLEWE. wanaume wengi tunatabia ya kulilia wanawake tuliokula nao bata ujanani lakini tunapaswa kuelewa mengine tukubali tu,yeye anapenda maisha mazuri kama kakukimbia kaacha mpaka watoto na pengine kwao hayopo jua yuko kwa wanaume wengine wenye nazo.yeye anampenda atafute hela amtafute au aowe mwingine.
 
Back
Top Bottom