Kama kuna ukweli kwenye tuhuma hizi basi sheria ichukue mkondo wake ila kama kuna hujuma na kisasi nyuma ya hili MUNGU na aonekane kuwa ni muweza wa yote
Hata kujenga nyumba nayo ni biashara unaweza kujenga nyumba baadae ukaiuza kwa faida kubwa zaidi au ukaipangisha ukaendelea kuishi kwenye nyumba ya shirika.
Mifano tuliipata ss wa zamani kidogo kipindi hicho tuliwaona wanajeshi,polisi na wale wazee waliokuwa wanaishi nyumba za mashirika baada ya...
Napata shida sana na yale maneno kuwa NTAKUWA NAE KWENYE SHIDA NA RAHAA MPAKA KIFO KITAKAPOTUTENGANISHA
Hilo lilikuwa ni tatizo dogo tu la kukaa chini na mke wake amweleze madhara ya hiyo njia maisha yaendelee tena mm naamini mtu unaeyejua udhaifu wake ni ngumu yy kufanya tofauti na ww.
Fikiria...
Nashukuru baba yangu alistaafu jeshi la polisi miaka ya tisini angetoa kauli kama hii sijui ningewezaje kumsalimia shikamoo baba labda ningemwambia shikamoo mama
Tatizo hapa ni kukwepa majukumu kwa watanzania sisi wa sasa hivi
Unakuta mtu umeteuliwa kwenda kuandaa mwili ww ukifika unawapa marasta wa mochwari elfu ishirini nguo za marehemu na sanda unawaonyesha na jeneza unakaa mbali unakunywa soda sbb bia zimezuiliwa wakimaliza unaenda unapeleka kwa...
Ivi dada mwenye zaidi ya miaka kumi na nane anapewaje mimba ambayo hamjapanga huku ukiwa na elimu kabisa ya kujua mimba inaingiaje shida ni moja si kila unamwambia njoo malizaa babaa kaamua kuwa baba wengine wanataka starehee ni jambo la kukaa na kupanga pamoja
Ungechukia wanaume na ukaacha...
Phone book imejaa wavulana na vibabu picha zako zote unapiga umegeuka kwa nyuma alafu unawaza kuolewa uje usomeshwe na mumeo ivi wakina dada ni lini mtaacha kutufanya sisi baba zenu? Tukioana ni kuanza kujenga familia tu
Yaani jitaidi na upate cheti chake feki cha form four akijifanya tu kuvituma mahali tafuta kijana apeleke ushahidi alivoji hahaaa haaaa komoa nikukomoe
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.