Ramea
JF-Expert Member
- Mar 19, 2015
- 2,146
- 4,054
Hunishindi Mimi, gari linalopiga music wa taarabu kampuni hiyo sipandi tena.hata taarabu huwa ni kero sana kwa wengine mbona......
Hunishindi Mimi, gari linalopiga music wa taarabu kampuni hiyo sipandi tena.hata taarabu huwa ni kero sana kwa wengine mbona......
Hizi ni dalili za watu waliopagawa mapepo, ndio maana Kuna nyimbo Njoo ufanyiwe maombi. Unawaza uharibifu badala ya Wema? Halafu unasema wewe ni mtu wa dini? Aonavyo mtu nafsini mwake ndivyo alivyo. Njoo ufanyiwe maombindo mlivo nyie,kujiona mnastahik kuliko wenzenu,wakitokea wendawazimu wenzenu wakawachinja na kuwalipua mnashangaa
Kwenye mwendokasi nyimbo za imani gani!?Ni kweli tunastahili kuvumiliana na kuheshimiana. Ustahamilivu hasa hutambua uwepo wa wenzio wenye imani tofauti na wewe. Sasa katika hali ya kawaida suala la nyimbo za dini kwenye taasisi za umma ni kero hasa kwenye nchi isiyofuata dini. Hatumuhitaji Magufuli au wizara zake kuelekezwa hili. Inakera. Sasa hivi hata kwenye mabasi ya mwendokasi hali ipo hivi. Tafadhali eleweni nyimbo hizo unaweza kuzipenda wewe kwa mwingine ni kero.
ofisi zingine unakuta bosi mnafiki mbinafsi mkatili lakini anajitia kusikiliza hizo nyimbo na maoni ya kimungu ,,,kweli yesu aliona mbali akasema utawajua kwa matendo,,,,hapo alitukamata kwelikweliNi kweli tunastahili kuvumiliana na kuheshimiana. Ustahamilivu hasa hutambua uwepo wa wenzio wenye imani tofauti na wewe. Sasa katika hali ya kawaida suala la nyimbo za dini kwenye taasisi za umma ni kero hasa kwenye nchi isiyofuata dini. Hatumuhitaji Magufuli au wizara zake kuelekezwa hili. Inakera. Sasa hivi hata kwenye mabasi ya mwendokasi hali ipo hivi. Tafadhali eleweni nyimbo hizo unaweza kuzipenda wewe kwa mwingine ni kero.
Ni kweli tunastahili kuvumiliana na kuheshimiana. Ustahamilivu hasa hutambua uwepo wa wenzio wenye imani tofauti na wewe. Sasa katika hali ya kawaida suala la nyimbo za dini kwenye taasisi za umma ni kero hasa kwenye nchi isiyofuata dini. Hatumuhitaji Magufuli au wizara zake kuelekezwa hili. Inakera. Sasa hivi hata kwenye mabasi ya mwendokasi hali ipo hivi. Tafadhali eleweni nyimbo hizo unaweza kuzipenda wewe kwa mwingine ni kero.
Uchochezi uko wapi?Acha kuleta uchochezi wewe
Tusiogope kujadili yanayotukwaza kwa sababu ndio yatakayo tufanya tuwe bora zaidi. Mijadala makinii hujenga na ndio maana tunatumia lugha ya kuheshimiana.Acha kuleta uchochezi wewe
Hoja si kutafuta upande fulani na kulaumu bali ni kujadili na kuwekana sawa.Kwenye mwendokasi nyimbo za imani gani!?
Kwanini usiweke wazi ili wadau wapate kujua
Hata wafanyakazi wa pale naona wako decent sanakuna filling station hapo victoria inapiga nyimbo za dini huwa napata raha sana
Unazani kama atatakiwa kuzima hizo za dini aweke zipi maana hata ukiweka Bongofleva au R&B bado kuna utakao wakera tu. Cha msingi jaribu ku sacrifice interest walao kwa dk chache hizo unazopenda utapiga kwenuHakuna cha kujiridhisha na mahusiano. Watu wanakaa kimya ila wanakerwa. Kwanini usisikilize kwako? Eti dereva hapo ni ofisi yake! Hiyo inaonyesha poor customer care. Hujali wengine eti ofisi yako?
Mbona kuna msikiti ofis ya makamu wa rais hulisemi? uwanja wa ndege uliojengwa kwa kodi za watu bial kujali imani mmetengewa sehem ya kuswali hulisemi hilo! au wewe ya waislam kwa umma ni safi lakini ya wakristu ni haram?Mjadala kwa wengine ni chuki na uhasama. Kama ni ofisi yako haina shida, tatizo ni ofisi za umma zinazohudumia wananchi. Kama unahudumia watu kwenye ofisi ya umma bado ni tatizo. Hii huweza hata kujenga hisia mbaya pale mteja asiporidhika. Ndio maana kwenye auditing wanahimiza independence in appearance etc.
Aah mkuu, nimeipenda sana hiyo KUVUMILIANA.Hahaha wewe unakosea sana, huwezi kumridhisha kila mtu, nikikuta unapiga khasida mimi mkristo inabidi nivumilie hadi mwisho wa kituo changu cha gari, mwislam naye avumilie kwaya vilevile na mtu wa dini awavumilie wapenda music wa akina diamond pia.
Mwarobaini wa hili ni kununua gari yako uweke upendacho
Ukikosa tunda la uvumilivu utageuka kuwa alqaeda, pili ujue wapo wengine wanakuvumilia kwa tabia yako na imani yako, ukijua hilo nawe utawavumilia wengine...Aah mkuu, nimeipenda sana hiyo KUVUMILIANA.