Ai em buroke buroka but ai no kilie pesiiiiii...
I'm broke, broke but I no kill person
🎶 Sikiliza huo wimbo mzuri sana wa Chellah kutoka Nigeria.
Nothing to diskasoo
Coz I dey win by difato
And Wizauto enedauto
(You go bow for the result,
Nothing to discuss,
’Cause I dey win by default,
And...
Naam mkuu ndiomaana situation kama hiyo kung'amua kwa harakaharaka haiwi rahisi mzee.. ni sawa na mchepuko uondoe namba ya wife na kuweka yake kwenye namba iliyoseviwa kama wife... alafu aaanze kukuletea mitego 😂😂 lazima tu akutikise kiaina
Kinachofanyika ni kwa mfano, mimi nasevu namba yako kama "boss bush" tapeli akichukua simu yangu anachokifanya anaedit namba tu kwa kuondoa za boss og na kuwekwa namba feki lkn jina ni lilelile, hiyo inakuwa mbaya zaidi kama boss na mfanyakazi wana kawaida ya kuwasiliana kwa kuchati
Hiyo situation ni ngumu sana kuchomoka aseeh! Jamaa sio lazma wakuombe kuchomoa line, rafiki yangu aliombwa tu simu apige.. yaan within seconds mtu kashabadili jina! Ngumu sana kuchomoka hapo japo i can't rule out uwezekano wa kucheza hiyo game
Hata mwezi haujaisha aseeh kuna rafiki yangu nae kakutana na hili balaa, jamaa kaazima simu kabadilisha namba za jina X kwa kuweka zake kisha baada kama ya 2hrs akaanza kuchat kama vile ni yy X.. aseeh alipigwa 420k kama utani yan.. town aseh town aaah acha tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.