Davidson david
JF-Expert Member
- Jul 26, 2023
- 1,027
- 1,063
Pole sana
BABA VLADMIR UNATIBU GERNITAL HERPES?Kwenye mitishamba/mimea magonjwa mengi Sana yanatibika,shida ni mitazamo ya watu.
Karibu, unaweza kupata msaada vyema kabisa na utashangaa.
GERNITAL HERPES kunaambae ameponaBABA VLADMIR UNATIBU GERNITAL HERPES?
YAANI MTU ALIPIMA IKASOMA +VE,JE AKITUMIA DAWA ZAKO AKAMALIZA ITASOMA -VE?
NAULIZA HIVI,MAANA DAWA ZA HOSPITAL ZINAHAIRISHA TU TATIZO KWA MGONJWA,BAADAE
Aisee.. kweli uliumwa.Imagine me nilikuw km hvyo
Miaka saba lazma viwe vikubw kama hvyo noma saaana aseh nikiona hizi picha ndo nagundua nilikuw naumw sana QManina
Kuna cream moja ya kichina nlitumia kwishaaaaaaa kabsaaaAisee.. kweli uliumwa.
So, ulitumia dawa gani hadi ukapona?
Inaitwaje si uweke na jina lake hapa watu waoneKuna cream moja ya kichina nlitumia kwishaaaaaaa kabsaaa
Duuh hatari sana mkuuImagine me nilikuw km hvyo
Miaka saba lazma viwe vikubw kama hvyo noma saaana aseh nikiona hizi picha ndo nagundua nilikuw naumw sana QManina
Baadae nitakujibu cha kufanya.Na aliyeniambukiza kabla ata ya kuzini naye kwa mara ya kwanza tulienda tukapima wote tukaambiwa tupo salama lakini binti mwenyewe aliniambia me nahifu ya kupima kwasababu nina UTI ya kujirudia rudia na hata hivi ilichukua mda kama wa miezi sita kugundua pia me nina UTI ambayo nikeza dawa wiki hii wiki ijayo inaamka mpaka doxcyline ndiyo mpaka leo hajarudi na me syo malaya kweli kwani nina miaka 23 na mpaka sasa ni wanawake wawili tu ndyo nimewahi kulala nao
Tafadhal jamani tusaidiane kama kuna aliyewahi kupona na amin ata me pia naweza kupona tupeaneawasiliano jaman haya ni mateso makubwaGERNITAL HERPES kunaambae amepona