Genital herpes

Genital herpes

Yaaan kama kuna mtu anabeza jamii forums kuhusu tiba aaaah tumwache tuu... me nimeumwa genital warts miaka 7 ninazo yaan elewa saba ni tang 2017 had 2024 hapo mwaka jana baada ya kuja huku jamii forums nikapata baadh ya majina ya dawa nikazitafuta nikatumia nikapona kabisa not easy broh but its possible me nimepona kabisa kabisa anaebisha natuma picha za jins nilikuw na nilivyo now asante sana jamiiforums kwasabb skuwahi kwenda hospital ni mwendo wa angaiko tu la jamii
 
Imagine me nilikuw km hvyo
Miaka saba lazma viwe vikubw kama hvyo noma saaana aseh nikiona hizi picha ndo nagundua nilikuw naumw sana QManina
 

Attachments

  • IMG_20240217_003505_1.jpg
    IMG_20240217_003505_1.jpg
    791.9 KB · Views: 30
  • IMG_20240217_003654_9.jpg
    IMG_20240217_003654_9.jpg
    628.5 KB · Views: 28
  • IMG_20240217_003554_8.jpg
    IMG_20240217_003554_8.jpg
    407.4 KB · Views: 31
  • IMG_20240217_003403_1.jpg
    IMG_20240217_003403_1.jpg
    686.1 KB · Views: 28
Kwenye mitishamba/mimea magonjwa mengi Sana yanatibika,shida ni mitazamo ya watu.
Karibu, unaweza kupata msaada vyema kabisa na utashangaa.
BABA VLADMIR UNATIBU GERNITAL HERPES?

YAANI MTU ALIPIMA IKASOMA +VE,JE AKITUMIA DAWA ZAKO AKAMALIZA ITASOMA -VE?

NAULIZA HIVI,MAANA DAWA ZA HOSPITAL ZINAHAIRISHA TU TATIZO KWA MGONJWA,BAADAE UGONJWA UNARUDI.
 
Imagine me nilikuw km hvyo
Miaka saba lazma viwe vikubw kama hvyo noma saaana aseh nikiona hizi picha ndo nagundua nilikuw naumw sana QManina
Aisee.. kweli uliumwa.
So, ulitumia dawa gani hadi ukapona?
 
Na aliyeniambukiza kabla ata ya kuzini naye kwa mara ya kwanza tulienda tukapima wote tukaambiwa tupo salama lakini binti mwenyewe aliniambia me nahifu ya kupima kwasababu nina UTI ya kujirudia rudia na hata hivi ilichukua mda kama wa miezi sita kugundua pia me nina UTI ambayo nikeza dawa wiki hii wiki ijayo inaamka mpaka doxcyline ndiyo mpaka leo hajarudi na me syo malaya kweli kwani nina miaka 23 na mpaka sasa ni wanawake wawili tu ndyo nimewahi kulala nao
 
Na aliyeniambukiza kabla ata ya kuzini naye kwa mara ya kwanza tulienda tukapima wote tukaambiwa tupo salama lakini binti mwenyewe aliniambia me nahifu ya kupima kwasababu nina UTI ya kujirudia rudia na hata hivi ilichukua mda kama wa miezi sita kugundua pia me nina UTI ambayo nikeza dawa wiki hii wiki ijayo inaamka mpaka doxcyline ndiyo mpaka leo hajarudi na me syo malaya kweli kwani nina miaka 23 na mpaka sasa ni wanawake wawili tu ndyo nimewahi kulala nao
Baadae nitakujibu cha kufanya.

Pole sana.
 
Watanzania wengi wanaumwa huu ugonjwa ila hawajijui,alafu vinaweza kutokea mdomoni au sehem z siri,za mdomoni wengi husema ni homa kumbe sio ,alafu mbaya mtu akiwa nazo mdomoni anaweza kukuambukiza kwenye sehem za siri endapo atakunyonya ,wengi wana genital herpes ila wanahisi ni vipele vya kunyoa kumbe sio.mbaya zaidi ni ngumu kujua kama mtu anayo au hana kwani sio muda wote huonyesha dalili,na pia unaweza kuwa navyo na visionyeshe dalili yeyote vikakaa dormant mwilini.

mtoa mada tafuta dawa za kuongeza kinga ya mwili utumie kila siku havitakushambulia tena.
 
Back
Top Bottom