Waungwana habari za asbh, nahisi nyote ni wazima kabisa. Mimi ni kijana wa miaka 26 ninatafuta kazi yeyote ile ila iwe ya kuajiriwa kwa mkataba ili kujikwamua na maisha haya. Niko serious kwa jambo hili elimu yangu 4m4 na nimepata kusoma Chuo ya Afya mwaka mmoja ila kwa sasa naomba kufanya kazi...
Wapenzi mashabiki wa English Premier League (EPL) ndio hiyo iko kwa hewa ni masaa 23hrs pekee turudi kwa msimu mpya
First Epl
Man U Vs Leister City 11jioni
Sasa tuanzie na usajiri wetu na yajayo yanafurahisha kabla ya saa 12jioni dirisha la usajiri litakapo kuwa linafungwa.
OFFICIAL...
Umeenda Nyumba ya Kulala Wageni mgeni wako (Mchepuko) Umeshatangulia uko room no 103 kufika jamaa wa mapokezi anakufahamu vizuri anakuuliza Mkeo/Mumeo hawajambo? Mtoto nae? [emoji23][emoji23][emoji23]
Niambie ungefanyaje?
Katika ari ambayo isiyoelezeka Zamaradi ajikuta akilabwa na Matusi ya Nguoni na Watanzania hii ni baada ya kumuWish Happy birthday@tiffa wa Diamond kwa kumtag@diamondplatnumz pekee bila ya mama mtoto@zarithebosslady.
Kwani aliandika hivi:
A very Happy Birthday to the little Princess Tiffah...
Mijanaume ya mkoa ikija Dar inaiga mambo za kike hadi saluni inaenda Mxieeww
Mbakigi makwenu Nyau nyie mnafanya hadi wanaume sisi wa Dar tuonekane majinga
Dar hatutak shoboooo sisi ni watafutaji buaanaa
Copy kwa
Mshana Jr Nimeambiwa ndie mtu maarufu humu JF
Sky Eclat
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.