Tom_Mbayeye
Member
- Aug 3, 2018
- 15
- 17
Katika ari ambayo isiyoelezeka Zamaradi ajikuta akilabwa na Matusi ya Nguoni na Watanzania hii ni baada ya kumuWish Happy birthday@tiffa wa Diamond kwa kumtag@diamondplatnumz pekee bila ya mama mtoto@zarithebosslady.
Kwani aliandika hivi:
A very Happy Birthday to the little Princess Tiffah, MUNGU akukuze kwa kimo na maarifa na ukawe mfano katika mifano iliyo bora duniani, endelea kuwa sababu kubwa ya furaha kwa familia yako' Hongera kijana kwa matunzo na kuwa Baba Mwema kwa watoto wako @diamondplatnumz umekuza baba
Sasa napenda kuwauliza wanajamvini, Je ni SAHIHI kumpa salamu za Pongezi Baba wa mtoto au Mama wa mtoto pekee?
Kwani aliandika hivi:
A very Happy Birthday to the little Princess Tiffah, MUNGU akukuze kwa kimo na maarifa na ukawe mfano katika mifano iliyo bora duniani, endelea kuwa sababu kubwa ya furaha kwa familia yako' Hongera kijana kwa matunzo na kuwa Baba Mwema kwa watoto wako @diamondplatnumz umekuza baba
Sasa napenda kuwauliza wanajamvini, Je ni SAHIHI kumpa salamu za Pongezi Baba wa mtoto au Mama wa mtoto pekee?