Recent content by Tlehhema

  1. T

    Kufeli kwa form four mwaka jana wazazi wawaangukia waalimu

    Ndugu wana jf, Nilipangiwa kazi wilaya mpya ya Kakonko shule ya sekondari Kanyonza ambapo wazazi wenye wanafunzi wa kidato cha nne na uongozi wao walikuja shuleni na soda na maji,tulifanya kikao nao huku wakiomba tuwaambie watufanyie nini ili tuhakikishe wanao wanafaulu mtihani hata kupata...
  2. T

    Tetesi: CCM kukata rufaa kupinga matokeo ya uchaguzi wa madiwani mjini Arusha

    ww ni mbumbu wa kisheria,sababu hizo hazina mashiko mfano mabalozi kuwatunzia wapiga kura ni kinyume cha sheria what i see hao mabalozi walikuwa wananunua shahada za watu mlidhani mtasalimika,kusimama umbali wa m100 ni sheria ndivyo inavyotaka,mnataka waende nyumbani ili iweje?usitake...
  3. T

    Siku CHADEMA ikifa

    Wewe ni mpuuzi,sasa wanapata ruzuku kwa vile wameshinda?madiwani na wabunge wa cdm watakuwa wa kumwaga ruzuku watakosaje,subiri mwaka kesho tunachukua mitaa na vijiji vya kumwaga,msomi wa standadization ww ndo maana mrahisi wa kutumika.
  4. T

    Mwigulu toka Bungeni: CHADEMA ndio waliolipua bomu mkutanoni kwao

    Acha ujinga kumbuka kuna mwana jf moja aliandika taarifa za kikao cha watu 8 akiwemo mwigulu na mipango ya miovu mods wakaondoa ile thread,cdm si wapuuzi kutofanyia kazi ile taarifa tatizo lenu huwa mnalewa
  5. T

    Live updates: Matokeo ya udiwani kwenye kata za uchaguzi - Juni 16, 2013

    Diwani wa awali alikuwa wa chadema akafariki
  6. T

    Alhamisi nitafunguka-Lwakatare

    Haki ya mungu ww ni kilaza na propaganda zenu zitawazidishia chuki na wananchi japo mnalipwa bk7 badilisheni style,mnafikiri kwa masaburi na mnaserukambwa.id yako ina sadifu tabia zako. shame on you
  7. T

    Dk Kitima aitabiria mabaya CCM mbele ya Wassira

    Ww unalipwa buku saba kudefend lichama lililooza tena umesoma kwa kodi za wtz huku ukiendelea kuwasaliti ole wenu siku mkitokea live mikononi mwa wtz tutawanyonyoa.shame on you.
  8. T

    Viongozi wa juu CHADEMA watofautiana

    Mchonganishi ni ww,barua ya zitto imeshazungumzwa ndani ya vikao ndani chama unless amekulalamikia shame on you.
  9. T

    CCM yaendelea kukataliwa na wananchi, Mlalo risasi zarindima kwa geuka uwanja wa vita

    Hatuna haja na uwepo wake ila haitaongoza dola ninyi ni vijana waganga tumbo mlioweka maslahi yenu mbele shame on you
  10. T

    Mbowe, Dr. Slaa kuzindua Kanda ya Pwani Jumapili

    Kanda ya pwani itakuwa ina nguvu sana bt this time tuwe makini na wanasiasa wa tumbo kwani kwa hapo dar ni wengi sana.MUNGU IBARIKI CDM MUNGU IBARIKI TZ
  11. T

    Waziri wa Mawasiliano: Wanaotumia vibaya simu, mitandao ya kijamii kukiona

    Wataanza na jf nini maana humu tunairarua sana sirikali ya mr weak,walitufungia mwanahalisi,serikali dhalimu mara nyingi hutoa haki mkono huu na kuipokonya na mkono mwingine.
  12. T

    Afisa polisi amdunda hakimu wilaya

    Ww akili huna kabisa,utaratibu wa mahakama unamtambua pp sio mkuu wa upelelezi,pole sana hakimu.
  13. T

    Wote wanaoipinga redio ya watu claus fm wana chuki binafsi

    Hv ile bifu ya tajiri wa clouds na sugu imeishia wapi juu ya kujimilikishia THT wakati mpunga ule ulitolewa na rais kwa vijana wa kitanzania,alafu kuna mtangazaji wao kama mc wa ccm vile na mahaba yake ya magambaz inside the house.radio ya wafu kama magamba
Back
Top Bottom