..........hapo sheria lazima ichukue mkondo wake... la sivyo tabia chafu kama hiyo itaendelea... watu watakuwa hawaheshimiani... hakuna mkubwa..... lakni kwa ushahidi huo polisi kakosea .. kuchukua shera mkononi.... kupgana hadharan.... tena ndan ya ofisi ya hakimu...... ni dharau kubwa sana .... yaani wote ni kama kambare wanamasharubu........