Makamanda wengi wata commit suicide
Jeshi la polisi inabidi lijiandae vyema kwa sababu ujambazi Ndio itakuwa ajira pekee kwa makamandaMajambazi yataongezeka mtaani kwasababu hela ya ruzuku itakata.
Huwa ninajiuliza watazikwa na magwanda yao au ni suti?
wanajf!nini mustakabali wa chadema ikishindwa kuchukua dola 2015?je kitasambaratika vipande vipande?au kitakufa kabisa?kwa yanayoendelea misri watanzania wamejifunza hatuwezi kuwapa wapinzani nchi,karibuni kwa michango yenu wakuu
Kwani 2010 walichukua dola? Kipi kilifanya wasisambaratike? Badala yake wameendelea kuwa strong. Inawezekana hata hiyo 2015 hawakuwa na lengo la kuchkua nchi but nyie kutokana na uoga wenu na kuona mmeshindwa tayari sasa mnawaza wasipochukua nchi itakuwaje. Tangu lini namba moja akajiuliza "huyu namba mbili asiposhinda itakuwaje?".
Kweli hali inazidi kuwa mbaya!!!
Tanzania iliingia katika mfumo wa vyama vingi baada ya kuanguka kwa ukuta wa Berlin na kusambaratika kwa ukomunisti Ulaya Mashariki na Urusi. Nchi za magharibi zinazotoa misaada ziliweka sharti la demokrasia ili Tanzania iendelee kupata misaada. Kwa kuwa serikali ya Tanzania ni tegemezi kwa misaada ililazimika ijitoe kimasomaso kuwa nayo imo katika wimbi la ujenzi wa demokrasia ya vyama vingi. CCM iliukubali mfumo wa demokrasia ya vyama vingi
kwa shingo upande na si kwa ridhaa yake bali kutokana na shindikizo kutoka nchi wahisani pamoja na vikundi vilivyokuwa vikipigania mageuzi ya kisiasa ndani ya nchi. Matokeo yake yakawa ni kwa nchi kuingia katika mfumo huo mpya wa siasa bila ya marekebisho ya msingi ya
taasisi zinazosimamia maongozi ya nchi. Kama zilivyo nchi nyingi za Kiafrika, chama kinachotawala Tanzania kilikubali mfumo wa vyama vingi pasina kukubali kuwa matokeo ya mfumo huo yanaweza kuwa ni kupoteza madaraka na kuyakabidhi kwa chama kingine kitakachoridhiwa na wananchi wenyewe. Upinzani utavumiliwa ikiwa tu utakubali kubakia katika upinzani.
wanajf!nini mustakabali wa chadema ikishindwa kuchukua dola 2015?je kitasambaratika vipande vipande?au kitakufa kabisa?kwa yanayoendelea misri watanzania wamejifunza hatuwezi kuwapa wapinzani nchi,karibuni kwa michango yenu wakuu
Majambazi yataongezeka mtaani kwasababu hela ya ruzuku itakata.