Recent content by Titty

  1. Titty

    Waziri kijana zaidi wa Somalia auawa kwa risasi

    INNALILLAHI WA INALLILAHI RAJIUN
  2. Titty

    Wadada wa JF mna maana gani kutumia avatar za sura nzuri ambazo sio zenu?

    Naona nahuyu malaya wake ana ka inferiority complex. Badala ya kuzungumzia majeneza wana kudis. Naomba we jama namwezio mniachia ka rubii. Alaf huyu mbona hiyo sura yake rubii. Ukute malaya wako alikuonyesha sura ya mtu mwingini. Fara wewe. Kama biashara mbaya ya majaneza usipunguzie stress zako...
  3. Titty

    Wadada wa JF mna maana gani kutumia avatar za sura nzuri ambazo sio zenu?

    Mbona nawanaume mnaweka sura za ma HB. Ila mimi siwezi kuweka sura yamtu. Kutokujaamini au kutukana watu probably mtu anabadilisha avatar.
  4. Titty

    Manesi badilikeni, kwa haya machache mnakera,msiwanyanyase wajawazito

    Mi mwenyewe niko hiyo sector ila hakuna kitu napenda kama kazi yangu. Alaf haswa mwanamke mjamzito maana wengi wanakuja kutaka kutoa mimba kwangu mwanamke mjamzito nishuja na namhudumia vizuri kwa maneno matamu
  5. Titty

    Tuambie kitu ulichofanyiwa utotoni kikakuletea madhara hadi leo

    Asante ila sio kwamba namzarau mtu hapana. Mfano namweshim sana mama yangu mme wangu watoto wangu, nawatu wenginne. Nasiokwamba nawachukia lashaha ila upendo kutoka mwoyini sina.
  6. Titty

    Tuambie kitu ulichofanyiwa utotoni kikakuletea madhara hadi leo

    Kwakweli mimi mwenyewe mtumishi wa afya upande wa pychology. Ila mganga hajigangi. Upande wa kiroho kwaupande wangu nawona havi collocate.
  7. Titty

    Tuambie kitu ulichofanyiwa utotoni kikakuletea madhara hadi leo

    Cjui ila najitahidi kuonyesha upendo kwa watu mbali mbali lakini wapi. Sasa cjui namimi kwanini niko hivyo
  8. Titty

    Aliniambia ni kaka yake kumbe ni mume mwenzangu

    Kuwa na urafiki na ex wako nikama kutumia kuku kama petty animal. Kuna siku utaichinja.
  9. Titty

    Kati ya wanawake 10 mmoja ndo wa asili

    Research yako umetuma sample ngampi. Ukinijbi nami ntafanya ya wanaume. Ntaleta mrejesho
  10. Titty

    Diamond ajaza nyomi la watu Zambia

    Ila ninachojua kila mwaka Zambia kufanya Shere cku hiyo ni siku ya utamaduni na nasana, wanalika wasaani mbali mbali. Kama mwaka jana walimwalika Alberto Yule jama aiyeimba wimbo wa Amarura. Don't over exargerate you guys. He is good but be sincere on some issues. Alialikwa na sio kwamba ni show...
  11. Titty

    Fahamu kuhusu biashara ya kuuza chakula (Mgahawa)

    Biashara ambao unapaswa kuwepo 24/7 ni mgahawa salooni yakike.Nilishawahi kuwa na mgahawa mabibo ila chakwanza lazima usimamie angalau ujue mzunguko unaenda je. Maana kadri unavyo zidi kuka kwenye hizo mbili ndo unapozidi kupata uzowef. Isitoshe una wa mold wafanyakazi maana huenda wenyewe...
  12. Titty

    Facebook kuna nini lakini

    Check dm yako. Ila kumbuka ukimwi unaua. Auutumie kinga
Back
Top Bottom