Recent content by titomrina

  1. T

    Wapinzani hamna hoja teeeeeena Bali viloja

    Suala ni kwamba serikali iliagiza uhakiki wa vyeti bandia na ikawa hivyo. Sasahivi amegundulika kiongizi ambaye hana vyeti halali. Je ilikua ikiwahusu watumishi wengine tu? Suala la upendeleo likiachwa litaleta tabu siku za usoni ndio maana wapinzani wanataka kuliweka sawa mapema.
  2. T

    Nyimbo za Wana Ikibinda Nkoi

    Brother namba yangu ni 0716004610 naomba unitumie nyimbo za Diamond Sound Kimalumalu, Neema na nyingine zote ulizo nazo.
  3. T

    Nyimbo za Wana Ikibinda Nkoi

    Hata mimi natafuta nyimbo za Neema na Kimalumalu z a Diamond Sound
  4. T

    Mkopo wa vyuo vikuu

    Jamani kama kuna anayejua sababu za kuchelewa kwa mkopo kipindi hiki anifahamishe. Ilikuwa tupewe tangu katikati ya mwezi wa nne lakini paka sasa ni patupu bila taarifa yoyote.
  5. T

    Museveni kusuluhisha mgogoro kati ya Tanzania na Rwanda

    Swala ni kwamba Kikwete alishauri kiroho safi ila Kagame akachukulia kwa mtazamo wake binafsi kwa tafsiri tofauti na lengo la mshauri. Kikwete hana kosa kwa hilo.
  6. T

    Wakristo wanasemaje?

    Inawezekana kuoa na kufunga ndoa na mtoto wa mama wa ubatizo?
  7. T

    nafasi za kazi: tembelea www.ajira.go.tz

    Wameshapeana tayari nyie mtaenda tu kukamilisha utaratibu.
  8. T

    nafasi za kazi: tembelea www.ajira.go.tz

    Wameshapeana tayari nyie mtaenda tu utaratibu ukamilike.
Back
Top Bottom