Pole sana utapona tu hata me nilingiwa na mende skioni nikaenda spital waliitoa ila badae nikuwa naskia limeziba nikarudi tena spital wakanipa dawa ya kuweka mpaka sasa niko vizuri
Usikate tamaa hata hivo miaka 27 bado muda upo ngoja nikupe mdano 1 (kuna dada 1 anamiaka 31 hajaolewa na hana hata mchumbA permanent lakini yy ukimuliza anasema kwa nn haolewi anassema bado) kwaiyo vumilia
Mmmmh naona mi sjaelewa uba ipi mnayo ongerea mi nchi ninayo ishi kuna magari yanaitwa uba nikama kampuni ukiitaji muda wote unawatumia sms na mtaa uliopo na kipindi inakuja wanakuwekea kwenye sim yako picha ya mtu anae kuijia na aina ya gari
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.