Recent content by tina juma

  1. T

    Pamba ndani ya sikio

    Pole sana utapona tu hata me nilingiwa na mende skioni nikaenda spital waliitoa ila badae nikuwa naskia limeziba nikarudi tena spital wakanipa dawa ya kuweka mpaka sasa niko vizuri
  2. T

    Nimekata tamaa ya kuolewa, wenzangu wote wameolewa

    Usikate tamaa hata hivo miaka 27 bado muda upo ngoja nikupe mdano 1 (kuna dada 1 anamiaka 31 hajaolewa na hana hata mchumbA permanent lakini yy ukimuliza anasema kwa nn haolewi anassema bado) kwaiyo vumilia
  3. T

    Wa mwisho ndiyo mshindi

    Mmmmh naona mi sjaelewa uba ipi mnayo ongerea mi nchi ninayo ishi kuna magari yanaitwa uba nikama kampuni ukiitaji muda wote unawatumia sms na mtaa uliopo na kipindi inakuja wanakuwekea kwenye sim yako picha ya mtu anae kuijia na aina ya gari
  4. T

    Wa mwisho ndiyo mshindi

    Lakini uba ni usafiri unaotumika masaa 24 na unapatikana haraka. Binafsi nikiwa na haraka zangu natumia uba siwezi kusubili basi
  5. T

    Wa mwisho ndiyo mshindi

    Uba mi naona ni nzuri zaid na haraka
  6. T

    Lady Jay Dee afunga ndoa tena?

    Ahongere
  7. T

    Wa mwisho ndiyo mshindi

    Hapana nilipita tu
  8. T

    Wa mwisho ndiyo mshindi

    No
  9. T

    Mbona wasichana wanazaa wakiwa wadogo sana?

    Maisha magum mara nyingi ndo yana sababosha kupata mimba za utotoni
  10. T

    Whatsssssss!!!!!!!!!????

    [emoji12]
  11. T

    Wa mwisho ndiyo mshindi

    Ooh lakini umewahi kufika iringa
  12. T

    Wa mwisho ndiyo mshindi

    Asante
Back
Top Bottom