Habari jf,
Wanajukwaa wiki tatu zilizopita nilikua natoa uchafu sikioni kutumia pamba stick, sasa kwa bahati mbaya pamba ikabaki ndani ya sikio, nikaenda kituo cha afya, wakachukua mabomba ya sindano wakajaza maji wakayapush ndani ya sikio, lakini sikio likazidi kuziba, nilivyorudi nyumbani nikachukua tena pamba stick likalizibua likazibuka.
Sasa tatizo langu sikio limeanza kuziba tena, nimeenda hospital wameangalia wamesema hawaoni kitu ndani, lakini mimi nasikia kabisa sikio limeziba.
Jamani anaefahamu hospital yoyote inayotoa huduma ya masikio kwa usanifu anielekeze kwa Dar es salaam
Wanajukwaa wiki tatu zilizopita nilikua natoa uchafu sikioni kutumia pamba stick, sasa kwa bahati mbaya pamba ikabaki ndani ya sikio, nikaenda kituo cha afya, wakachukua mabomba ya sindano wakajaza maji wakayapush ndani ya sikio, lakini sikio likazidi kuziba, nilivyorudi nyumbani nikachukua tena pamba stick likalizibua likazibuka.
Sasa tatizo langu sikio limeanza kuziba tena, nimeenda hospital wameangalia wamesema hawaoni kitu ndani, lakini mimi nasikia kabisa sikio limeziba.
Jamani anaefahamu hospital yoyote inayotoa huduma ya masikio kwa usanifu anielekeze kwa Dar es salaam