Recent content by Timor

  1. Timor

    Wasaidizi wa Rais, mmemsusia au yeye 'anang'ang'ania'?

    Unamzungumzia John Pombe Joseph Magufuli au mtu mwingine.Kama ni huyo wala usipoteze muda wAKO.kICHWA CHAKE ANAKIJUA MWENYEWE,sASA USHAURI WA NINI
  2. Timor

    Butiku: Miaka 55 hatuwezi kujenga mtambo wa kuchambua mchanga wa madini?

    Kwani hao wazee wa Dar es salaam wanawakilisha wazee wa nchi nzima ?Tena hao si wale wa vijiwe vya kahawa Mitaa ya Livingstoe na Kariakoo,Magomeni Mapipa na Mwembe Chai tena wana pensheni zao.Wazee wa Namanyere Meatu ,Kiraracha,Namtumbo, Nangurukuru na kule...
  3. Timor

    Wapenda vitabu pitia hapa

    Haya najaribu ku upload kimoja kimoja lakini mda ndo sina ,Nilitamani ni upload vyote kwa pamoja mfaidi...Ni vingi mno siwezi kutafuta kimoja kimoja
  4. Timor

    Wapenda vitabu pitia hapa

    Mimi nina Library kubwa sana ya vitabu mbali mbali viko kwenye PDF format namna ya ku upload hapa ndo sijui.Nina zaidi ya vitabu 6000 kuanzia riwaya , philosophy, business, educational nk.Njoo unijuze ni upload vyote vyote wapendwa wajipakulie kwa tani zao.
  5. Timor

    TMA: Upepo mkali unatarajiwa kuvuma Pwani ya Tanzania

    Lini Hali ya Hewa wakasema ukweli.Wao ni utabiri tu.........
  6. Timor

    Mwalimu Mwalimu atuhumiwa Kuiba Mahindi

    Nimeona tukio hilo katika taarifa ya habari ya saa moja usiku Channel Ten, Ni la kweli ila linasikitisha sana! Mwalimu anaiba kwa sababu ya shida , Kipato hakimtoshi. Lakini kumwaanika katiak mkutano wa Kijiji huku wakidai wamemsamehe.....ni kudhalilisha taluma...
  7. Timor

    MBA UDOM: Lecurer kafaulisha 6 na kukamata 28

    QM Kamata kamata mbaya, Huyu jamaa aliwatenda wengi sana pale Mlimani hata ukiongea naye anasema maisha ya Probability siyo mchezo.Mwaache aende zake.............:frusty:
  8. Timor

    Aibu tupu kkkt

    Hakika hili ni janga kwa Kanisa.Viongozi walione!
  9. Timor

    Gaidi mtaani kwetu!!

    :flypig:Absolutely dangerous in East Africa. May our leaders in great lakes aware of these thugs in horn of Africa???
  10. Timor

    Miaka 50 ya uhuru ni ubadhirifu mtupu

    Nimetembelea mabanda mbali mbali tangu Wizara na mashirika mbali mbali wameanza kuonyesha tulikofikia miaka 50 ya Uhuru TANZANIA BARA. Nimeongea na watu mbali mbali, waonyeshaji na watendaji mbali mbali wa serikali na kujionea mwenyewe yale yanayoendelea. Ukweli...
  11. Timor

    We ALL cheat!

    This is not an excuse or even an endorsement, but it might be the first step to recovery. Have you even been able to admit this to yourself? I believe that everyone has cheated at some point. I can remember a take home test that a teacher gave. The test was VERY difficult and would take a...
  12. Timor

    Invitation

    You are cordially invited to the "Making a Difference" - AFRICAN WOMEN in BUSINESS Conference Luncheon on the 29th of July 2011 @ SOAS - School of Oriental & African Studies, 12pm - 8pm. There will be a Networking Reception from 6pm till 8pm. All are invited. REGISTER EARLY SINCE MEALS NEED...
  13. Timor

    Rectal Bleeding: Source, Management Cure? Naomba kuelimishwa

    Rectal bleeding (known medically as hematochezia) refers to the passage of red blood from the anus, often mixed with stools and/or blood clots. (It is called rectal bleeding because the rectum lies immediately above the anus, and although the bleeding indeed may be coming from the rectum, as...
  14. Timor

    Ofa ofa ofa kamambe !

    Mkuu sana shukrani naziendea mbio mbio sijui lifoleni hili nitawahi?
  15. Timor

    Wizi katika Vituo vya Mafuta!!!

    I.n.a.k.e.r.a s.a.n.a !!!
Back
Top Bottom