Recent content by TimeStope

  1. TimeStope

    Mapdri Mwanza watangaza siku ya kufanya maazimisho ya kumkumbuka Magufuli

    Wapo sahihi, napendekeza waungwe mkono..👍
  2. TimeStope

    Simba wameteuliwa Super League ili kuibeba Al Ahly

    Naunga mkono hoja [emoji113]
  3. TimeStope

    Je Kamati iliyomuadhibu Hajji Manara ni tofauti na ile iliyomuadhibu kocha wa makipa Mashujaa FC?

    Ngoja waje kukupa jawabu la swali lako, lakini jibu la kwanza watakwambia ni kwa kuwa Manara amekuwa na makosa ya kujirudia rudia... Mimi napita tu[emoji188]
  4. TimeStope

    Baraza Kuu la CHADEMA laridhia kufukuzwa kwa Halima Mdee na wenzake 18. Asilimia 97.6 waafikiana na maamuzi

    Cha ajabu ni kwamba, mapuguani kama wewe huwa hayaishi![emoji3525]
  5. TimeStope

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Niliwahi kusema kuna siku ubinafsi wa wachezaji fulani kama Sarah kutompa pasi Diaz utaigharimu timu, sasa ndicho kimetokea kwenye mechi yetu na Totteham[emoji3525]
  6. TimeStope

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Inapofika kwenye eneo la ufungaji kila mtu anataka pasi kutoka kwa Luis Dias, lakini mwisho wa siku kwenye eneo hilo hilo yeye hawampi pasi! Klop atalazimika kuongea na wachezaji ili kukemea kuhusu hilo, bila kufanya hivyo jambo hilo litaweza kuigharimu timu huko mbeleni...[emoji3525]
  7. TimeStope

    Tulimtaka Rais anayesafiri, amefika!

    Yeye asafiri tu kadri awezavyo, sisi tupo kwenye usingizi mzito na hatuamki leo..[emoji42][emoji42][emoji42]
  8. TimeStope

    Nitoe pongezi kwa Kanisa la Wasabato Tanzania

    Baada ya Sabato, karibu na mapambazuko ya siku ile ya Jumapili, Maria Magdalene na yule Maria mwingine walikwenda kutazama lile kaburi. Mathayo 28:1 BHND Basi, alfajiri na mapema siku ya Jumapili, walifika kaburini, jua lilipoanza kuchomoza. Marko 16:2 BHND Alfajiri na mapema Jumapili, kukiwa...
  9. TimeStope

    Mbuga za Tanzania ndani ya UAE

    Wakati taifa letu likiwa katika usingizi mzito usiokuwa na njozi, "Muungano wa Falme za Kiarabu" (UAE) walianzisha mpango wa mda mrefu wa kuwa na mbuga za kisasa mfano wa mbuga za Tanzania, na kisha kuzipa majina yaleyale (Serengeti, Ngorongoro, Manyara, na Mikumi) kisha kununua wanyama chungu...
  10. TimeStope

    Ni kawaida binti wa miaka 13 kuvunja ungo?

    [emoji1787][emoji1787][emoji1787] Sina mbavu mimi
  11. TimeStope

    Upishi wa ovyo ovyo umefanya nimuache

    Utamu wa dakika mbili ukutese maisha!? Haiwezekani mkuu...
  12. TimeStope

    Upishi wa ovyo ovyo umefanya nimuache

    [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
  13. TimeStope

    Upishi wa ovyo ovyo umefanya nimuache

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji106]
Back
Top Bottom