Ngoja waje kukupa jawabu la swali lako, lakini jibu la kwanza watakwambia ni kwa kuwa Manara amekuwa na makosa ya kujirudia rudia... Mimi napita tu[emoji188]
Niliwahi kusema kuna siku ubinafsi wa wachezaji fulani kama Sarah kutompa pasi Diaz utaigharimu timu, sasa ndicho kimetokea kwenye mechi yetu na Totteham[emoji3525]
Inapofika kwenye eneo la ufungaji kila mtu anataka pasi kutoka kwa Luis Dias, lakini mwisho wa siku kwenye eneo hilo hilo yeye hawampi pasi!
Klop atalazimika kuongea na wachezaji ili kukemea kuhusu hilo, bila kufanya hivyo jambo hilo litaweza kuigharimu timu huko mbeleni...[emoji3525]
Baada ya Sabato, karibu na mapambazuko ya siku ile ya Jumapili, Maria Magdalene na yule Maria mwingine walikwenda kutazama lile kaburi.
Mathayo 28:1 BHND
Basi, alfajiri na mapema siku ya Jumapili, walifika kaburini, jua lilipoanza kuchomoza.
Marko 16:2 BHND
Alfajiri na mapema Jumapili, kukiwa...
Wakati taifa letu likiwa katika usingizi mzito usiokuwa na njozi, "Muungano wa Falme za Kiarabu" (UAE) walianzisha mpango wa mda mrefu wa kuwa na mbuga za kisasa mfano wa mbuga za Tanzania, na kisha kuzipa majina yaleyale (Serengeti, Ngorongoro, Manyara, na Mikumi) kisha kununua wanyama chungu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.