Mapdri Mwanza watangaza siku ya kufanya maazimisho ya kumkumbuka Magufuli

Etwege

JF-Expert Member
Jul 4, 2018
5,738
15,211
Mapdri jijini Mwanza kwa umoja wao wametangaza kuwa tarehe 23/3/2024 kwenye viwanja vya kawekamo litafanyika azimisho kubwa la kumkumbuka aliyekuwa rais wa awamu ya tano ya nchi yetu, Hayati Magufuli kwani aliifanyia makubwa nchi yetu ikiwemo kuivusha kwenye kipindi cha Corona na nchi kuingia uchumi wa kati mapema zaidi.

 
nchi kuingia uchumi wa kati mapema zaidi.
20230930_013345.jpg
 
Uchumi wa Kati au nimesoma vinginevyo?,Nkanini sio mpumbavu ni uongo mkubwa kuwa nchi iliingia kwenye uchumi wa kati....wapi Mr.Saanane??
 
, Hayati Magufuli kwani aliifanyia makubwa nchi yetu ikiwemo kuivusha kwenye kipindi cha Corona na nchi kuingia uchumi wa kati mapema zaidi.


View: https://youtu.be/geTk6gjjkhI?si=5C3QK2rFCNdx5uL-

Eti kuivusha nchi kipindi cha corona?? My foot!! Ndugu zetu wengi sana walikufa kwa sababu ya kutojikinga, kufuata maelekezo ya WHO badala yake akasema tujifukize.

Uzuri na mwenyewe Magu akaondoka kwa hiyo hiyo corona
 
Wanaonyesha level yao ya kufikiri ndani ya box. Warejee waraka wa kwarezima wa baraza la maaskofu katoliki. Warejee aliyofanyiwa askofu Niwemugizi, warejee aliyofanyiwa muumini wao wa Singida TL. Kwa nini wafanye kama mapadre wa Mwanza. Au kuna ukabira flani hivi?
 
Mapdri jijini Mwanza kwa umoja wao wametangaza kuwa tarehe 23/3/2024 kwenye viwanja vya kawekamo litafanyika azimisho kubwa la kumkumbuka aliyekuwa rais wa awamu ya tano ya nchi yetu, Hayati Magufuli kwani aliifanyia makubwa nchi yetu ikiwemo kuivusha kwenye kipindi cha Corona na nchi kuingia uchumi wa kati mapema zaidi.

Kuelekea uchaguzi Mkuu, utawakuta front seats wanasiasa waliokuwa wanamnanga Magufuli
 
Mapdri jijini Mwanza kwa umoja wao wametangaza kuwa tarehe 23/3/2024 kwenye viwanja vya kawekamo litafanyika azimisho kubwa la kumkumbuka aliyekuwa rais wa awamu ya tano ya nchi yetu, Hayati Magufuli kwani aliifanyia makubwa nchi yetu ikiwemo kuivusha kwenye kipindi cha Corona na nchi kuingia uchumi wa kati mapema zaidi.

Unakula wali kwa hisani ya watu wa marekani ukitokea kipande gani?
 
Back
Top Bottom