Mbuga za Tanzania ndani ya UAE

TimeStope

Member
Mar 12, 2021
80
125
Wakati taifa letu likiwa katika usingizi mzito usiokuwa na njozi, "Muungano wa Falme za Kiarabu" (UAE) walianzisha mpango wa mda mrefu wa kuwa na mbuga za kisasa mfano wa mbuga za Tanzania, na kisha kuzipa majina yaleyale (Serengeti, Ngorongoro, Manyara, na Mikumi) kisha kununua wanyama chungu nzima, wa kila aina kutoka huku huku Afrika na kuwaweka katika mbuga hizo katika mpango wao wa mda mrefu.

Mwezi 2 au 3 kama sikosei, walizindua mbuga hizo maridadi na wanazitangaza duniani kote, watalii wengi hivi sasa wanaelekea huko.

Mbuga hizo hazina tofauti na mbuga zetu, kile kinachopatikana Serengeti, Ngorongoro, Manyara, na Mikumi; ndani ya "Sharjah Safari Park" kinapatikana vilevile.

Waarabu hao wameenda mbali zaidi, wameanzisha mji mkongwe mfano wa Zanzibar; na unaitwa Zanzibar.
Mji huo hauna tofauti na mji wa Zanzibar, mitaa ni ileile, majina ya mitaa, mandhari ileile, lakini yote ndani ya Sharjah.

Sasa leo tumeshtuka kutoka katika usingizi huo, tunajaribu kuanzisha mpango wa kutangaza vivutio vyetu vya utalii kimataifa, lakini "it's too late!"

Hivi nani aliye turoga!?
 
Sisi tunalia hatuna fursa wenye akili kubwa wanatumia fursa zetu kupiga hela wa tz tunalialia serikali haifanyi chochote jee wewe mtanzania wa kawaida umefanya nn
 
Wakati taifa letu likiwa katika usingizi mzito usiokuwa na njozi, "Muungano wa Falme za Kiarabu" (UAE) walianzisha mpango wa mda mrefu wa kuwa na mbuga za kisasa mfano wa mbuga za Tanzania, na kisha kuzipa majina yaleyale (Serengeti, Ngorongoro, Manyara, na Mikumi) kisha kununua wanyama chungu nzima, wa kila aina kutoka huku huku Afrika na kuwaweka katika mbuga hizo katika mpango wao wa mda mrefu.

Mwezi 2 au 3 kama sikosei, walizindua mbuga hizo maridadi na wanazitangaza duniani kote, watalii wengi hivi sasa wanaelekea huko.

Mbuga hizo hazina tofauti na mbuga zetu, kile kinachopatikana Serengeti, Ngorongoro, Manyara, na Mikumi; ndani ya "Sharjah Safari Park" kinapatikana vilevile.

Waarabu hao wameenda mbali zaidi, wameanzisha mji mkongwe mfano wa Zanzibar; na unaitwa Zanzibar.
Mji huo hauna tofauti na mji wa Zanzibar, mitaa ni ileile, majina ya mitaa, mandhari ileile, lakini yote ndani ya Sharjah.

Sasa leo tumeshtuka kutoka katika usingizi huo, tunajaribu kuanzisha mpango wa kutangaza vivutio vyetu vya utalii kimataifa, lakini "it's too late!"

Hivi nani aliye turoga!?

Aisee!
Awamu ya 2 ndo uuzaji uliasisiwa🙄
 
Sema it's too artificial hata hainogi, nimecheki promo lote naona jua tu na michanga. "Serengeti shall never die".

Yaani unatupa link ya zoo ya Arabuni na kutuaminisha eti ni the likeness of Tanzania's Serengeti? Ngorongoro? Selous? Real?
 
Utopolo...
Mbona hizi mbuga za kutengeneza zipo UK, US na Europe nzima....na Simba, Tembo na Vifaru na wanyama wote wapo, kutoka Tanzania na nchi zote za Africa, tena kwa jinsi zilivyo kubwa, unatembea na gari kabisa, na kifaru kina pita mbele yako
Wewe ndio umeona ya UAE tu ?
 
Wakati taifa letu likiwa katika usingizi mzito usiokuwa na njozi, "Muungano wa Falme za Kiarabu" (UAE) walianzisha mpango wa mda mrefu wa kuwa na mbuga za kisasa mfano wa mbuga za Tanzania, na kisha kuzipa majina yaleyale (Serengeti, Ngorongoro, Manyara, na Mikumi) kisha kununua wanyama chungu nzima, wa kila aina kutoka huku huku Afrika na kuwaweka katika mbuga hizo katika mpango wao wa mda mrefu.

Mwezi 2 au 3 kama sikosei, walizindua mbuga hizo maridadi na wanazitangaza duniani kote, watalii wengi hivi sasa wanaelekea huko.

Mbuga hizo hazina tofauti na mbuga zetu, kile kinachopatikana Serengeti, Ngorongoro, Manyara, na Mikumi; ndani ya "Sharjah Safari Park" kinapatikana vilevile.

Waarabu hao wameenda mbali zaidi, wameanzisha mji mkongwe mfano wa Zanzibar; na unaitwa Zanzibar.
Mji huo hauna tofauti na mji wa Zanzibar, mitaa ni ileile, majina ya mitaa, mandhari ileile, lakini yote ndani ya Sharjah.

Sasa leo tumeshtuka kutoka katika usingizi huo, tunajaribu kuanzisha mpango wa kutangaza vivutio vyetu vya utalii kimataifa, lakini "it's too late!"

Hivi nani aliye turoga!?

Tuliuza sana wanyama wetu.

Kama wanatumia majina yetu, wanatulipa Royalty fee?
 
HUU NI UPUMBAVU SANA HA HA HA...!,TENA UPUMBAVU KWELI KWELI...!,KILICHOBAKIA KWA SABABU WANATUMIA MAJINA YETU WATULIPE TU, SASA TUTAFANYA NINI?,UZEMBE UMEFANYWA PENGINE NA WASOMI. (Aibu hii) wamedivet mapato ya utalii.
°Kenya wanaweza kufanya haya?
°Rwanda wanaweza kufanya haya? Kuna nchi yoyote east afrika inaweza kufanya haya?, South Africa, Zimbabwe zambia wanaweza kufanya haya?
 
HUU NI UPUMBAVU SANA HA HA HA...!,TENA UPUMBAVU KWELI KWELI...!,KILICHOBAKIA KWA SABABU WANATUMIA MAJINA YETU WATULIPE TU, SASA TUTAFANYA NINI?,UZEMBE UMEFANYWA PENGINE NA WASOMI. (Aibu hii) wamedivet mapato ya utalii.
Wazungu wanakuja huku bado sio Kwa waarabu wanajua kule ni fake tu

Nature ni nature tu itabaki vile vile
 
Sisi tunalia hatuna fursa wenye akili kubwa wanatumia fursa zetu kupiga hela wa tz tunalialia serikali haifanyi chochote jee wewe mtanzania wa kawaida umefanya nn
Na wewe usiwe mpumbavu kuwauliza serikali eti nimeifanyia nn,, wewe mwenyewe umeifanyia nn??
Serikali inatakiwa kuweka mazingira rafiki kwa kila sectors, ndiyo utaona vijana wakijaribu, bila mazingira rafiki hakuna namna,, kila mtu atapenda aajiriwe na serikali au company
 
Umenena..
Ni ka Zoo flani ka kawaida tu.
Uwezi fananisha na serengeti ama ngorongoro hata kidogo..

Je jengo moja linaweza fanana na mji wa Zanzibar?
It hauna Ile terrain au rain forest au Ile savanna kama iliyopo Africa...

Kwenye hako ka zoo Ile taste bado kabisa, Ile misele, patashika zile adventure bado kabisa...
 
Back
Top Bottom