Recent content by Tikiling'iniye

  1. T

    Hydroponic fodder, Mkombozi pekee wa wafugaji wa ng'ombe, kuku, nguruwe, mbuzi na kadhalika

    Anayejua na yupo Dar please Naomba kujua hydroponic solution nitaipata Wapi?
  2. T

    Nimemtongoza jana, leo anataka nimtumie hela

    Ahhahahshsh ulitaka aombwe nani?
  3. T

    Biashara Leo: Ondoka, Hakuna aliyekuita hapa

    U a right. mteja anatakiwa kubembelezwa. huwezi mjali mteja kwa kumuangalia machoni kuwa anachotaka ana uwezo wa kununua ama la. Usifanye makosa. treat every customers or clients equally
  4. T

    Ngeleja: Zitto aliomba na kupewa milioni 30 kutoka kwa Rugemarila

    Kumtaja Zitto hakukuondolei kitu. Hahahahaha taja na wengine but ushahidi muhimu
  5. T

    Mchumba wangu katumia namba nyingine kunitongoza

    Hahahaahha imekula kwako. geuza upande wa.pili ungechukua uamuzi gani? pole.sana.
  6. T

    Mke wangu ana tatizo kubwa msaada please

    Mke wako anahitaji kupendwa sana na kuwa karibu nae sana. inapotokea kakosea.mrejeshe kwa upole na usirecall yaliyopita.
  7. T

    Namuhurumia sana mpenzi wangu wa zamani

    Akikua ataacha tu kuandika hivi. Ni utoto unamsumbua. peleka hii issue Fb wenzio watakushauri
  8. T

    Mwanamke akutwa na risiti ya lodge

    Na wanaume.je? kikubwa ni.kuwa mwaminifu
Back
Top Bottom