Mchumba wangu katumia namba nyingine kunitongoza

Mchumba wangu katumia namba nyingine kunitongoza

i dont want to see this post

  • i dont to see this post

    Votes: 0 0.0%
  • i dont want to see this post

    Votes: 2 100.0%

  • Total voters
    2
  • Poll closed .
Mwache tu kwani nini si ndiyo Alichokuwa anataka kujua ameshajua asikupotezee muda
 
Tamaa mbaya, unaonekana unapenda sana vya mteremko, ulijua umepata kumbe umepatikana. Mfuate mwambie ulijua kama ni yeye kwa hiyo ulitaka kuona je angekuja guest kweli. Lakini kwa sababu hujaja sasa unamuamini zaidi.


hahahaaa
 
mbona kama vile sijakuelewa?

Hata mitume akiwemo Mohammed na Jesus mitego ya wanawake iliwashinda kabisa???[/QUOTE]
 
kwani amekuja akakuta chumbani kama hajaja mwambie mimi sikwenda huko au nimeenda nikakaa nje ili nimuone mwanamke malaya na king'ang'anizi.
 
huyo hakua na mpango na wewe, watu hawajaribu sumu kwa kuionja

Mkubalie yaishe, kama ni wako atarudi tu

It is a bad start kwa wapenzi kupimana kwa style hiyo
 
Hii thread sio ya dini, ukitaka kuujua ukweli nitafute kwa mda wako dogo

Kama sio ya kidini kwanini umeingiza mambo ya kidini humu futa kauli yako na umuombe Yesu msamaha kwa kumpakazia uongo.
 
Hizo Kesi Nazishughurikia Mimi Polisi jamii Itabidi Ufanye Maarifa Na Yeye Ategwe Kama Alivyokutega
 
Last edited by a moderator:
Mwambie kuwa ulikuwa hauendi kumgegeda, ulikuwa unaenda huko gesti kumpa kichapo. Na huyo demu wako kwa akili hiyo atakusumbua sana hata mtakapofunga ndoa. Nina experience na wadudu wa aina hiyo. Atakuwa anatongoza hata wafanyakazi wenzako (wa kike) kwa simu yako akiwatumia text za mapenzi, wakijibu friendly tu (kwa sababu wanakuheshimu hawawezi kukunyea) basi nyumbani itakuwa inakuwa kesi. Ogopa sana demu mwenye wivu na majaribu kuliko ibilisi. Atayafanya maisha yako kuwa living hell!

umeongea la maana.......huu mchezo atauendeleza hadi kwenye ndoa........

nadhani mleta mada anaogopa kuanza upya.....kumpata mtu mwingine na kadhalika......
 
Ndugu wanajamvi, naombeni ushauri mwenzenu, juzi dem wangu katumia no nisoijua, ktk maongezi, ckumjua ila sauti ilitaka kufanana na mchumba angu, nikampigia kumulza dem wangu akakataa c yeye, aliepiga, ktk kuchat na huyo mtu akaanza kuniulza unamchumba, nikakubali, anishi wapi nikamwambia, kwao wanakujua nikajibu ndy baadhi ya ndugu wananijua, akaanza ooh minakuhitaji uwe na mimi, we unasemaje, nikakata ktk kuendelea cku ya pili nikamwambia tuonane kwanza, coz mi ckujui, ikaendelea ivyo hadi kanishawish nikakubal nikajua ni mchupuko tu,kanambia chukua room gest nikalipia room gest, kumbe ni mchumba ndo kanichezea huo mchezo, hapa asahivi kakimaa kuwa tuachane coz mi malaya, na mwez ujao ndo ilikuwa nikalipe mahali, so naombeni ushauri wenu ndugu zangu,

uandishi wako unatia kichefuchefu,kajifunze kuandika kwanza
 
Aaah ilikuwa simple kabisa, unamgeuzia kibao kuwa ulijua ni yeye na ulitaka aje ili umwage vizuri kwa kukujaribu maana huwezi kuwa na mtu ambaye hakuamini. Unaongea hayo bila kuwa na chembe ya mzaha. Na kama vipi unafanya kama unammwaga, angekujia na magoti huyo. Ilishawahi kunitokea na nikaisolve kwa mtindo huo
 
Hahahhaaaaaaaaaaaaa! NEXT TIMEMTU HUMJUI AKIKUTONGOZA MKOPE KILO! Akiwa serious atatoa, kama ni kukujaribu tu, kila nyingi sanaaa.

Kuna mijitu ipo determined, kilo kitu gani bana kama K ipo classic inarusha tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom