Recent content by tibwilitibwili

  1. T

    JamiiForums Tanzania TANZANIA KUNA MAMBO: DPP amkana Hoseah asema hajapata jalada la Chenge

    Wote wezi sana tu na hakuna cha zaidi
  2. T

    JamiiForums Tanzania Hawa ndiyo JK anawaita wawekezaji wa kukaribisha

    Ili JK na jamaa zake wasikie maombi haya lazima kujua kama SUMA JKT wakataka mapesa kwa wadau wa CCM kama hakuna basi uwezo wao bni bure tutawapa wakorea tu mtake msitake
  3. T

    JamiiForums Tanzania Mbunge mmoja wa CHADEMA sawa na Wabunge 20 wa CCM

    Haina maana in what sense mkuu fafanua
  4. T

    JamiiForums Tanzania Operesheni Sangara yaingia Lushoto; kwa Makamba

    Chukua kwanza tano na pia hongera kwa kunitoa msituni . Nilikuwa nimejificha nachungulia kwa mbali .Umesema mengi poa ila siasa za majina hizi hazitakufa maana ndiyo siasa zenyewe . Ila sasa wenye majina hao ndiyo waje wachukue mawazo na ushauri wetu waongezee kulileta Taifa maendeleo. Pongezi...
  5. T

    JamiiForums Tanzania Synod 2009 na mtizamo wake dhidi ya Afrika

    Kueneza ukatoliki ? Hapana nadhani ukatoliki hauhitaji kuenezwa maana umesha jieneza na kwa namna ama nyingie hata wewe unasaidia kuuneza .Kama unabisha kazi kwako .
  6. T

    JamiiForums Tanzania Mheshimiwa Ndesamburo

    Jamaa ana bif kama JK na Nyerere Foundation
  7. T

    JamiiForums Tanzania Synod 2009 na mtizamo wake dhidi ya Afrika

    Bora sasa tukae kimya tuone nini kina endelea . Ufanunuzi wa nini Vatican na Holy Sea tafadhali upeleke magomeni kuna watu pale hawaelewi hili.
  8. T

    JamiiForums Tanzania Wanaharakati: Ziachieni simu za VodaCom!

    Mkira ufisadi ina mkondo wake kaka .Tunamalizwa tu hivi hivi
  9. T

    JamiiForums Tanzania Kikwete siyo safi! - yes I said it!

    Mzee wa fungu mbona sijakuelewa ? yaani kwa ujumla JK si msafi ni kuanzia akiwa waziri hadi Rais hata kama alikuwa anapokea amri yeye anatekeleza .The bottom line ni hii kwamba he is not clean na hawezi kusafisha nyumba kwa kuwa amezoea uchafu
  10. T

    JamiiForums Tanzania Program Alert: Mjadala wa ripoti on StarTV-Sunday

    Kitendo cha Malaria sugu kukosa Umeme nasema CCM walaaniwe na Ngeleja wao na Iddrisa .
  11. T

    JamiiForums Tanzania Tamko la Ikulu juu ya Richmond

    Tamko hili litakuwa ni jipya tofauti na juzi sijui jana ambalo Luhanjo amefafanua ? Mbona wanaongeza kasi ya matamko what is happening with these guys ndugu wananchi ?
  12. T

    JamiiForums Tanzania Kikwete siyo safi! - yes I said it!

    Nakuunga mkono kwa mawazo yako haya .
  13. T

    JamiiForums Tanzania Fujo la udini Nigeria

    Nina ngoja watu kama GT waje hapa watueleze juu ya hili la Nigeria na sharia Law kama ni sahihi kwa watu wengi vile kufa . Je waislam bado mnataka Kadhi na OIC ?
  14. T

    JamiiForums Tanzania JK umesikia haya ya Machangu DC wa Nzega na Resolute T LTD Nzega ?

    Lunyungu unapoteza muda wewe .Ulikuwa hujui kwamba Machangu yuko katika mwendelezo ule ule kama wa akina Karamagi ? Wanafanya haya kwa kuwa kuna baraka za mkubwa .
  15. T

    JamiiForums Tanzania Fujo la udini Nigeria

    Mvutamba hawa jamaa walianza kama sisi tunavyo anza sasa Mahakama ya Kadhi , OIC na baadaye tutaingia maeneo ya waislam na tutasema sasa sharia na mwishowe kujitawala . Kupinga Elimu ya magharibi hili ni kubwa sana .Watu wengi wamekufa na leo kuna watu tunalia hapa na mambo ya kadhi , na OIC...
Back
Top Bottom