Ili JK na jamaa zake wasikie maombi haya lazima kujua kama SUMA JKT wakataka mapesa kwa wadau wa CCM kama hakuna basi uwezo wao bni bure tutawapa wakorea tu mtake msitake
Chukua kwanza tano na pia hongera kwa kunitoa msituni . Nilikuwa nimejificha nachungulia kwa mbali .Umesema mengi poa ila siasa za majina hizi hazitakufa maana ndiyo siasa zenyewe . Ila sasa wenye majina hao ndiyo waje wachukue mawazo na ushauri wetu waongezee kulileta Taifa maendeleo. Pongezi...
Kueneza ukatoliki ? Hapana nadhani ukatoliki hauhitaji kuenezwa maana umesha jieneza na kwa namna ama nyingie hata wewe unasaidia kuuneza .Kama unabisha kazi kwako .
Mzee wa fungu mbona sijakuelewa ? yaani kwa ujumla JK si msafi ni kuanzia akiwa waziri hadi Rais hata kama alikuwa anapokea amri yeye anatekeleza .The bottom line ni hii kwamba he is not clean na hawezi kusafisha nyumba kwa kuwa amezoea uchafu
Tamko hili litakuwa ni jipya tofauti na juzi sijui jana ambalo Luhanjo amefafanua ? Mbona wanaongeza kasi ya matamko what is happening with these guys ndugu wananchi ?
Nina ngoja watu kama GT waje hapa watueleze juu ya hili la Nigeria na sharia Law kama ni sahihi kwa watu wengi vile kufa .
Je waislam bado mnataka Kadhi na OIC ?
Lunyungu unapoteza muda wewe .Ulikuwa hujui kwamba Machangu yuko katika mwendelezo ule ule kama wa akina Karamagi ? Wanafanya haya kwa kuwa kuna baraka za mkubwa .
Mvutamba hawa jamaa walianza kama sisi tunavyo anza sasa Mahakama ya Kadhi , OIC na baadaye tutaingia maeneo ya waislam na tutasema sasa sharia na mwishowe kujitawala .
Kupinga Elimu ya magharibi hili ni kubwa sana .Watu wengi wamekufa na leo kuna watu tunalia hapa na mambo ya kadhi , na OIC...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.