Mitaa michafu ya umasikini haiwezi kuzaa watakatifu...
Kuna ombwe kubwa sana kati ya walionacho na wasionacho ambalo linaendelea kukua kila kukicha,siyo Tanzania tu bali Afrika nzima,wachache waliopata nafasi za uongozi wanazitumia kujinufaisha kwa njia za kifisadi hasa kutoka vyama tawala ambavyo viongozi wake wamejisahau na kuona wanahati miliki ya kutawala mataifa yao,wengi wanatake advantage ya ignorance ya watu wa vijijini ambao kwao vyama vilivyoleta uhuru ndio source ya amani na utulivu,..kwa hivyo kila uchaguzi unapofika hurudisha serikali hizo tawala madarakani,kwao umeme,barabara za lami is not any issue at all.
Nimefurahi baba Askofu Mtega amekumbuka wajibu wao kama viongozi wa dini ,amekiri kwamba hawakufanya kazi yao sawasawa ya kuwahubiri na kuwahudumia kiroho viongozi wa serikali za kiafrika,kitu ambacho ametaka kifanyike mara moja..
Required: Deeper evangelisation, advocacy and prophetic voice to our governments.
Jambo hili ni zuri kwa sababu ninaamini ufisadi hauwezi kuondolewa kwa viongozi wa dini kulalamika ama ndani au nje ya nchi.Kwangu mimi tunapowashutumu mafisadi ni vema pia tukaangalia wajibu wa viongozi wa dini katika kuwaandaa viongozi wetu kiroho maana kama wakiandaliwa vizuri watakuwa waadilifu...
I wish i could have an access to His Holness Mtega and ask him to comeback home for evangelism as he suggested.
Kuna ombwe kubwa sana kati ya walionacho na wasionacho ambalo linaendelea kukua kila kukicha,siyo Tanzania tu bali Afrika nzima,wachache waliopata nafasi za uongozi wanazitumia kujinufaisha kwa njia za kifisadi hasa kutoka vyama tawala ambavyo viongozi wake wamejisahau na kuona wanahati miliki ya kutawala mataifa yao,wengi wanatake advantage ya ignorance ya watu wa vijijini ambao kwao vyama vilivyoleta uhuru ndio source ya amani na utulivu,..kwa hivyo kila uchaguzi unapofika hurudisha serikali hizo tawala madarakani,kwao umeme,barabara za lami is not any issue at all.
Nimefurahi baba Askofu Mtega amekumbuka wajibu wao kama viongozi wa dini ,amekiri kwamba hawakufanya kazi yao sawasawa ya kuwahubiri na kuwahudumia kiroho viongozi wa serikali za kiafrika,kitu ambacho ametaka kifanyike mara moja..
Required: Deeper evangelisation, advocacy and prophetic voice to our governments.
Jambo hili ni zuri kwa sababu ninaamini ufisadi hauwezi kuondolewa kwa viongozi wa dini kulalamika ama ndani au nje ya nchi.Kwangu mimi tunapowashutumu mafisadi ni vema pia tukaangalia wajibu wa viongozi wa dini katika kuwaandaa viongozi wetu kiroho maana kama wakiandaliwa vizuri watakuwa waadilifu...
I wish i could have an access to His Holness Mtega and ask him to comeback home for evangelism as he suggested.