Game Theory
Platinum Member
- Sep 5, 2006
- 8,545
- 835
Hivi huyu mheshimiwa ana worth kiasi gani kwa estimates za juuu juu?
That includes assets zake ndani na nje ya nchi
nawasilisha
Last edited:
Hivi huyu mheshimiwa ana worth kiasi gani kwa estimates za juuu juu?
That includes assets zake ndani na nje ya nchi
nawasilisha
Vipi unataka akumegee ya kampeni?
Tume ya maadili kaandika ana mali kiasi gani? Nyumba ya London pia imo?
Tume ya maadili kaandika ana mali kiasi gani? Nyumba ya London pia imo?
Uko huko kuchunguza mali za watu? Tutajie basi na majumba ya viongozi wako wa ccm usiwe unapendelea.
Subiri atakavyo lialia hapa.........Port!!!!
Kuna shida gani Mbongo kuwa na hizo pesa....mbona wahindi wana mijumba dar..na uk hakuna anayewauliza..sijui kwenye thread yako unataka nini?? au helikopta zimekupakawisha?NYUMBA AU mijumba ISIYO NA IDADI?
Unaelewa hii ni very sensitive kwa mheshimiwa na wapambe wake na stay tuned watu kuanza kuwa emotional and all
Kuna haja kuanza kuhoji vyanzo vya mapato kwa hawa wanajulikana kama VIBOBA. Tanzania hii hii watu wamepigika kiasi cha kulala na wengine hata kufa kwa njaa...na wakati huo huo kuna watu wamefikia hatu ya kununua maeroplane, magari ya milioni mia saba na kwenye majumba ndo usiseme.
Mi nafikiri tuanze na hawa matajiri mapema kabla ya uchaguzi afu tumalize na hawa wa serikali.....WATU WANAUTAJIRI WA AJABU JAMANI KHAAA!!!!