Mkuu Ndege JOHN mi kijiwe chetu kilikuwepo pale mrumbani kwa juu tulikiita SNC(Singida niggers camp)tulikuwa tunauza bangi Singida nzima,ukija unakutana na Mzee baba Sakume kauzu
Acheni tuwe wapole tu,safar hii singida mjin tumepatikana!!mtu kama barabara ya kuingilia kwake tu imemshinda vp kuhusu airport!??amalizie tu muda wake aachie watu wenye ushawishi
Wasikutishe jomba,wanyatur mbona wako safi tu,wengi wameolewa na wapemba kariakoo na wametulia na ndoa zao!kama ni kweli jins wanavokushaur basi leo hii wangekuwa wamejazana wajane watupu singida.coz hakuna mwanaume amayekubal kuwa na mwanamke kiwembe,na singida ingekuwa inaongoza kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.