Recent content by thiopetal

  1. T

    MC Pilipili asema mahari ya mchumba wake ni milioni 8

    Jamaaa kapigwa Maana miaka hii... Mahari zimekuwa chini sanaa...mno. Sent using Jamii Forums mobile app
  2. T

    Natafuta mwanamme wa kunioa.

    Wanasemaa nyakati sa Usiku hata konokono wanaweza King'ataa... Best ov lucky... Sent using Jamii Forums mobile app
  3. T

    Serikali iwaangalie broiler breeders wanaoshindana na wafugaji wadogo

    Wachache wanakuelewa mkuu.. Hii sector inadeal n'a biological system kwaiyo kufananishia n'a kinabakhresa n'a chapati... Sent using Jamii Forums mobile app
  4. T

    Tetesi: MSHAHARA WA MILIONI 400

    Hongeraa Naanza sasa kuelewa alichorudi kufanyaa
  5. T

    Hatimaye! Unaweza kufanya malipo mtandaoni kwa M-Pesa

    Jaman kuna mtu yeyote kafanishika kushanya Online lähmend kwa kutumia nyoa hii ... Pls tufahamishane ..natka nijaribu now
  6. T

    Wanafunzi kunyimwa mkopo

    Sio kunyimwa ni kukosa!!
  7. T

    Kujiunga sua BVM

    Mkuuu Kuna vitu nilikuwa naomba umisaidie kuhusu bvm kama uko tayar plz
  8. T

    Karibuni wote tujenge urafiki wa kudumu na kusaidiana

    Wazo zuri sana mkuu Naomba unitag pm
  9. T

    Fumbo la maisha: Waziri Ummy meza kiburi, ombeni msaada kwa Mwele Malecela, WHO.

    Kwani ile zikaa aliyetangaza iko Wapiii !!!? Au mnasifiaa tu kwa sababu kachaguliwa ...!???
  10. T

    RC Makonda: Msanii ukifanya Birthday bila kusaidia jamii nakuweka ndani!

    Ni kwel mkuu . Hawa wanahabari ni shida sana yaani Jamaa alikuwa anatania lakini Wao wameweka serious
  11. T

    Waliopata div two ya 11 na ya 12 wakakosa vyuo, lazima TCU ijitafakari

    Tatzo wenzao wamepiga div 1 Nyingi mno kias kwamba cis nyingi za science wameapata One tu
  12. T

    SUA NINI MNACHOFANYA?

    Kuchukuliwa mmoja au wawili maana yake ndo nafasi iliyokuwa imebaki baada ya first selection, ammbazo hawajatoa maaana yake zilijaa tokaa awamu ya kwanza
  13. T

    Anataka nini huyu mke wa mtu kuniambia mambo yake ambayo sipaswi kuyafahamu?

    Ivi apo kazini mnadeal na kazi gani.. Maana najarbu tu kufikiria iyo ni kazi gani inayofanywa na watu ambao hedhi ni kitu cha ajabu kwao..!?
  14. T

    Uliza chochote kuhusu matatizo ya hardware kwenye laptop na desktop

    Kuna pc ,charger yake ilipoteaa ikipita mda kidogo kuipata nyingine kwani zilikuwaa hazipatikani kabisa apa , Kwaiyo niakaagiza nje nikaipata baada ya mda mrefu kidogo kupita .. Kwaiyo mda huo wote Ilikuwa pc haitumiki.. Lakini baada ya kuipata na kujarbu kuitumia ikawa haiwaki kabisa wakati...
Back
Top Bottom