Wachache wanakuelewa mkuu..
Hii sector inadeal n'a biological system kwaiyo kufananishia n'a kinabakhresa n'a chapati...
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuchukuliwa mmoja au wawili maana yake ndo nafasi iliyokuwa imebaki baada ya first selection, ammbazo hawajatoa maaana yake zilijaa tokaa awamu ya kwanza
Kuna pc ,charger yake ilipoteaa ikipita mda kidogo kuipata nyingine kwani zilikuwaa hazipatikani kabisa apa ,
Kwaiyo niakaagiza nje nikaipata baada ya mda mrefu kidogo kupita ..
Kwaiyo mda huo wote Ilikuwa pc haitumiki..
Lakini baada ya kuipata na kujarbu kuitumia ikawa haiwaki kabisa wakati...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.