Kujiunga sua BVM

Kujiunga sua BVM

Mkuu Hongera sana kwa kuchaguliwa kujiunga na chuo bora cha kilimo hapa Tanzania... Na karibu katika college yetu pendwa ya 'College of veterinary and Biomedical Science "........

Shule ya pale ndani ni kawaida sana incase kama umeenda kusoma kweli... but ukienda ukaanza kufunua sketi za kina dada shule ya mule ndani itakuwia vigumu sana.... But huwa na imani kubwa kama umeweza kuchaguliwa kwa kozi yetu pendwa basi upstairs uko vizuriii.....

Mimi binafsi nimemaliza iyo kozi na kwa uzoefu wangu shule ya mwaka wa kwanza ni hatari hapo inabidi u turn ur mind katika masomo mdogo wangu coz ukizembea tu sitoshangaa wewe kubeba mabegi na kurudi nyumbani baada ya mwaka wa masomo kuisha.... kuna masomo yanasumbua sana mwaka wa kwanza mfano comparative anatomy... biochemistry pamoja na histology.....

Kwa mwaka wa pili ni full bata... hapa utakula bata mpaka basi coz shule ni laini sijawahi ona.... mwaka wa 3 na mwaka 4 shule ya kibabe inarudi mziki wa hapa na mwaka 1 uko kama sawa hivi na ukizembea sitoshangaa wewe ku disco.... mwaka wa tano ndio bata kabisa hapo ni full kulala hapa nakuomba u turn your mind ukimaliza ukafanye mishe gani mtaani....coz life kwa sasa lime change kidogo coz uhitaji wa vet mtaani ume drop si kama zamani....

afu kama kawaida shule yetu inaendana na bata... kula bata kwa sana but not to that extent afu protocol yetu mule ndani vet wengi mademu zetu wengi huwa tunawatoa food science so hiyo chain msije ivunja madogo.....

wish u all the best dogo katika maisha yako mapya ya miaka 5 hapo sua... thou pia inaweza isiwe mitano ikawa miaka 6 or saba......
Mkuu we ushamaliza....vipi kusu soko lake huko mtaani....
Kusu mademu kiukwel me sio mtu wa bata...hop ntaweza
 
Mkuu we ushamaliza....vipi kusu soko lake huko mtaani....
Kusu mademu kiukwel me sio mtu bata...hop ntaweza
Kiukweli katika suala zima la ajira sasa hivi kozi yetu imekuwa na changamoto kubwa sana hasa hasa serikalini tena kwa jinsi ninavyoona nchi yetu inapoelekea ishu za kilimo sio kipaumbele sana so ndio maana hata ajira zao kwa sasa zimekuwa za kulenga kwa manati.....

But as a Vet unaweza ukaishi mtaani vizuri tu coz elimu unayoipata hapo itakuwezesha wewe kujiajiri na maisha yakaenda kama kawaida na labda kwa kuongezea kidogo hapo kuna taasisi nyingi binafsi zinazotuhitaji and from there u can make it in life kijana.....

So kwa sasa usifikirie sana kuhusu mambo ya ajira hizi ukimaliza utazikuta tu so kwa sasa focus on your studies pambana ili uweze kumaliza salama ..... goodluck
 
Kiukweli katika suala zima la ajira sasa hivi kozi yetu imekuwa na changamoto kubwa sana hasa hasa serikalini tena kwa jinsi ninavyoona nchi yetu inapoelekea ishu za kilimo sio kipaumbele sana so ndio maana hata ajira zao kwa sasa zimekuwa za kulenga kwa manati.....

But as a Vet unaweza ukaishi mtaani vizuri tu coz elimu unayoipata hapo itakuwezesha wewe kujiajiri na maisha yakaenda kama kawaida na labda kwa kuongezea kidogo hapo kuna taasisi nyingi binafsi zinazotuhitaji and from there u can make it in life kijana.....

So kwa sasa usifikirie sana kuhusu mambo ya ajira hizi ukimaliza utazikuta tu so kwa sasa focus on your studies pambana ili uweze kumaliza salama ..... goodluck
 
Kiukweli katika suala zima la ajira sasa hivi kozi yetu imekuwa na changamoto kubwa sana hasa hasa serikalini tena kwa jinsi ninavyoona nchi yetu inapoelekea ishu za kilimo sio kipaumbele sana so ndio maana hata ajira zao kwa sasa zimekuwa za kulenga kwa manati.....

But as a Vet unaweza ukaishi mtaani vizuri tu coz elimu unayoipata hapo itakuwezesha wewe kujiajiri na maisha yakaenda kama kawaida na labda kwa kuongezea kidogo hapo kuna taasisi nyingi binafsi zinazotuhitaji and from there u can make it in life kijana.....

So kwa sasa usifikirie sana kuhusu mambo ya ajira hizi ukimaliza utazikuta tu so kwa sasa focus on your studies pambana ili uweze kumaliza salama ..... goodluck
 
Duuh mi nimesoma sua ila coz zakawaida ila uo mzigo baba miaka m5 inakuhusu,na msul wake sio wa nchi hii
 
Bro...me bado nipo sa ivi mkuu...Mungu akipenda ntaenda second year

Hakuna kudisco.....shule juhudi zako tu unatoka
 
Najua sasa unaenda 2nd year apo SUA. Naomba nipe maujanja kidogo kuhusu VET maana nimebahatika kuipata.
Vipi mishe za ajira kunasomeka au mambo ni magumashi?
Yes mkuu ..ndo naingia second year Mungu akipenda...

Kusu ajira soma vizur comment ya theriogenology hapo juu...mana yeye kamaliza mwaka jana
 
Ile kitu nishida,ila unakaza unatoboa mzee maslah yake uko mbele yako fresh,ata boom lenyew lenu hua linakaua kubwa kulinganisha na kozi nyingine
Mwanzo mgumu hasa ukizingatia unaenda kukutana na vi2 vipya kabsa...nishafungua moyo tiar
 
Mkuu Hongera sana kwa kuchaguliwa kujiunga na chuo bora cha kilimo hapa Tanzania... Na karibu katika college yetu pendwa ya 'College of veterinary and Biomedical Science "........

Shule ya pale ndani ni kawaida sana incase kama umeenda kusoma kweli... but ukienda ukaanza kufunua sketi za kina dada shule ya mule ndani itakuwia vigumu sana.... But huwa na imani kubwa kama umeweza kuchaguliwa kwa kozi yetu pendwa basi upstairs uko vizuriii.....

Mimi binafsi nimemaliza iyo kozi na kwa uzoefu wangu shule ya mwaka wa kwanza ni hatari hapo inabidi u turn ur mind katika masomo mdogo wangu coz ukizembea tu sitoshangaa wewe kubeba mabegi na kurudi nyumbani baada ya mwaka wa masomo kuisha.... kuna masomo yanasumbua sana mwaka wa kwanza mfano comparative anatomy... biochemistry pamoja na histology.....

Kwa mwaka wa pili ni full bata... hapa utakula bata mpaka basi coz shule ni laini sijawahi ona.... mwaka wa 3 na mwaka 4 shule ya kibabe inarudi mziki wa hapa na mwaka 1 uko kama sawa hivi na ukizembea sitoshangaa wewe ku disco.... mwaka wa tano ndio bata kabisa hapo ni full kulala hapa nakuomba u turn your mind ukimaliza ukafanye mishe gani mtaani....coz life kwa sasa lime change kidogo coz uhitaji wa vet mtaani ume drop si kama zamani....

afu kama kawaida shule yetu inaendana na bata... kula bata kwa sana but not to that extent afu protocol yetu mule ndani vet wengi mademu zetu wengi huwa tunawatoa food science so hiyo chain msije ivunja madogo.....

wish u all the best dogo katika maisha yako mapya ya miaka 5 hapo sua... thou pia inaweza isiwe mitano ikawa miaka 6 or saba......
Mkuuu
Kuna vitu nilikuwa naomba umisaidie kuhusu bvm kama uko tayar plz
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom