Recent content by Think Again

  1. Think Again

    Peniela (Story ya kijasusi)

    Hiyo ni sehemu ya Part 1 mkuu ambayo ipo mpaka S07, mwendelezo wake ndo ombi langu.
  2. Think Again

    Peniela (Story ya kijasusi)

    Mkuu naomba msaada wa Ambola na Mathew Mulumbi part 2
  3. Think Again

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Usijali na usivunjike moyo ndugu, ipo siku utafaulu tu na inaweza ikawa ndio oral yako ya kwanza na ya mwisho. kikubwa jiandae vizuri na Muombe Mungu naamini utavuka hiyo hatua.
  4. Think Again

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    inategemeana na wameambiwa wakareport kazini lini, hivyo inawezekana kazi wakaanza July na mshahara wa July wakapata kutegemeana na taasisi walikopangiwa.
  5. Think Again

    KERO Changamoto za mfumo wa Ajira Portal zinachochea Matapeli kuigeuza fursa!

    Ndugu yangu pole sana kwa kutapeliwa, inawezekana ulipanic ndio maana ukashindwa kuona kuwa barua hiyo ina mapungufu mengi na sio ya Utumishi. kikubwa jitahidi sana kuwa makini na vitu kama hivi, mara nyingi tunaambiwa kuwa hakuna utaratibu wa kutoa hela ili usaidiwe changamoto zako. Kwanza...
  6. Think Again

    Simulizi ya Kijasusi: Bado Ninaishi

    FEBIANI BABUYA huku umepasahau kabisa mtaalamu
  7. Think Again

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Hakika kila mtu atafurahi kwa wakati wake, hongereni sana mnaoona majina yenu kwenye PDF za placement, kila lenye heri kwenu kwenye utumishi wa UMMA.
  8. Think Again

    Simulizi ya Kijasusi: Safari ya Gavin Luca

    Babuya katika ubora wake
  9. Think Again

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Mi nadhani wanaita kwenye interviews kulingana na mahitaji ya Waajiri kwa wakati huo, Waajiri wanaohitaji watu kwa haraka ndio wanawapa kipaumbele.
  10. Think Again

    Simulizi ya kijasusi: Shetani Rudisha akili zetu na mke wangu

    Mbona zinagoma kufunguka mkuu??? au bure ilikuwa kwa ajili ya weekend tu!?
  11. Think Again

    Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) yamwaga ajira

    haifunguki, itakuwa na watumiaji wengi imezidiwa
  12. Think Again

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Usiweke unachojua, weka format inayotakiwa na system yao
  13. Think Again

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Tunarudi zama za kale, who knows who. Ila ni vyema kupambana tu, hakuna namna.
Back
Top Bottom