Hayo yote ni sawa ila huo upuuzi wa kuvuliwa viatu na sijui wa kulishwa, mimi huwa sishibi aisee. Nataka mwanamke mwenye haiba ya kike na akili ya maendeleo.
Umeandika mambo mengi mno ila hapo ulipoandika (KATIKA MAISHA KUNA CLASS, TAMBUA CLASS YAKO), hapa umeandika ukweli mtupu. Ila nakushauri wewe ndo ujue class yako kwanza maana sijawahi kuona mtu mwenye awkward thinking capacity kama wewe humu. Unaringa kama haunyi vile. Tumia akili next time...
Yaani kufukuzia mwanamke mpaka shughuli za misiba, harusi hauhudhurii, je ungemuoa si hata kufa ungekataa?
Endelea kutohudhuria misiba na harusi atakuonea huruma.
Olewa halafu jiandae kutongozwa na babu yako nako utaolewa tena. Kibwengo wewe acha tamaa za kipuuzi rungu limkune mama ako na wewe unalitaka tena? Nenda gereji ya akili
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.