Mrejesho: Sijui huyu mzungu atanikubali?

Mrejesho: Sijui huyu mzungu atanikubali?

Hahahahahahaha jamani nimeshindwa kujizuia kucheka mpaka watu wananishangaa
wewe kaka una matatizo tena sio madogo
 
Hivi huyu mmexico alikwambia anakupenda na anataka uwe boyfriend wake ??

Mwenyewe umesema alikwambia alikuwa na muda mrefu hajado na wewe kwa tamaa zako ukajitoa fahamu,
una sheeeda sana
 
Acha kusikitika mkuu,kwanza inapasa ushukuru,wenzio wanaishia kuziona kwenye video hizo za wazungu,we umefanikiwa kubandua bado unalalamika!!!!!!!!
 
Hilo liwowo la ki-Mehico litakuuwa mwaka huu. Shauri yako na vijitamaa vyako.
 
shukuru amekupa game,ngoja jamaa wake asepe unaweza uka-take over tena,inawezekana na yeye anashindwa mwambia mmarekani mwenzake kwamba ndani ya miezi 4 kashapata mtu
 
It was just for fun sema kibongobongo yani ukishatembea na mtu ndo mmeanza relationship..
For them its casual sex..
Pole
 
Is dating a muzungu that big of a deal to some in this day and age?

Scratching my head!


Ni bonge la deal kaka....Hapa mimi mwenyewe natafuta wa kuendesha naye maisha ya wastaafu....

Kama una zali la mentali nirushie mkuu.....!!!
 
umejilipua,. ndio hasara za kufanya kitu bila kufikiria. we kama ulikuwa unataka akuonjeshe, sasa kukuonjesha ndio unataka chote kabisa? we move on na mswahili wako
 
Kila mzungu ana uwezo wa kununua ghorofa kariakoo?
cc Nyani Ngabu


Kwetu sisi hilo siyo swali mkuu....

Tunavyojua sisi kila mzungu ana pesa kama majani na hakuna mzungu masikini.....

Mie mwenyewe sijabadilika kwenye bichwa pamoja na kuwaona homeless kibao wakipigwa baridi.... May be hao wamerogwa...

Tangu lini mzungu akawa masikini bwana???
 
Hahahahahahaha jamani nimeshindwa kujizuia kucheka mpaka watu wananishangaa
wewe kaka una matatizo tena sio madogo


Mbona mimi nimemwona kuwa ni smart sana....yaani kichwa cha ukweli??

Au ni makengeza yangu........??
 
hahahaa angalia sasa usije kuharibu mzee maana ushakosa potee!
 
Yaani kufukuzia mwanamke mpaka shughuli za misiba, harusi hauhudhurii, je ungemuoa si hata kufa ungekataa?

Endelea kutohudhuria misiba na harusi atakuonea huruma.
 
Nothing is good or bad but your thinking make it so. Endelea na maisha na kazi kama kawa, mbona dada yetu (huyo Mbongo) ulipompiga chini hakuhama "Mji".
 
Huyo amekufanya tambala la deki yaani anakuona poyoyo aka mlaba matapishi, nikuombe endelea na hamsini zako.
 
Mkuu ukiwa mwizi hutakiwi kuwa na wivu hiyo ni principle!
 
Mchepuko Una wivu kuliko mwenye mali. Dah umepewa mambo ya Ki telenovela braza. We kuwa mpole jamaa akiondoka uendelee kujimegea Paloma wako ila akili kumkichwa
 
Back
Top Bottom