Medical Council of Tanganyika - MCT
Inatakiwa council ambayo haitakuwa chini ya wizara Ya Afya . Hii iende hadi kwa fani nyingine mfano , maainjinia , manesi. Waasibu nk
Hiyo ni nzuri kama utajenga sehemu ambayo ina
well
Hiyo ni nzuri kama unajenga sehemu ambayo kuna hight demand ya nyumba ya wapangaji mfano kama gharama ya kujenga inarudi ndani ya miaka 5 sio mbaya
Kwani waweza jenga njumba kwa grarama kubwa then ukapanga kwa bei ndogo
Hela yako ina rudi...
Cha msingi chukua taadhali kabla ya kununua ardhi
1. Fanya screening kujua matumizi yake mfano
makazi , shule au msikiti Hiyo kazi inafanya na surveyor mi huwa natoa hata 50,00 anachukua cordinate za enea na kwenda ardhi kucheki matumizi
2. Nunua eneo ambalo halina mgogoro
Huwa sinunue...
2023 nimenunua ardhi shamba kwa tsh 33 Million asah hv nauza kwa kwa tsh 100 million mteja kapatikana
Kuna eneo nilinunua kwa tsh 40 million 2019 juzi hapa wachina wamefika kwa 250 million ila sijauza kwani nina project nalo
Ardhi ni uwekezaji mzuri kwa mtu ambaye hana muda wa kufanya...
Tanzania ni rahisi sana kuwa Impressed
Yaani hiyo issue jana ndo unaona ni akili kubwa
Kwa ufupi waliharibu , especially Shehe kuongea watu kukatwa vichwa Haikuwa sehemu yake
Ipo hv by the time apartheid inaanza kugain momentum ilikuwa ni miaka michache tangu wayahudi wauliwe na wanazi
Na wale makaburu ni jamii hizo hizo Za wanazi
So jamii ya wayahudi walibidi watoe kafala watu weusi ku divert attention wao wasilengwe
Hata DPP wa kupindi hicho PERCY YUTAR...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.