Mwaka Juzi kigamboni 2024
Nilinua eneo kwa 40 M ilikuwa kama eka 4 hv
Nikapima viwanja kwa gharama ya kama 10 M hivi vikatoka viwanja 30
Kwa sana naviuza jumla kwa 150 M Watu wa surveyor nimewapa mkataba hadi asas hivi washauza vya sh 110 Million miezi mitatu ijayo wanamaliza mkataba
Hapo...
Ila mimi huwa nakaa chini na kufikiria
Hivi mimi pamoja na kuwa mwanamme napata shida kupata hela Kwa binti ambaye hana kazi je?
Muda mwingine tuwaonee huruma ni umaskini tu
Kumbuka mwanamke matumizi ni mengi
1.Lotion ya ngozi anukie vizuri
2. Set za nguo za ndani , mwanamme waweza kuwa na...
Kitu amabacho watu hawajui na wanadhani Marekani inatania na vikwazo
Marekani inataka Tanzania iwe stable siku zote
1. Ki joglafia in ukanda wa wa Bahari yenye urefu wa km 800 , inapakana na nchi nyingi
Kama unavyojua na ipo strategic na ki maslahi na usalama wa Marekani Afrika Mashariki...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.