Recent content by thetowerofbabel

  1. thetowerofbabel

    Wasaliti waendelea kulia na kusaga meno, sasa ni zamu ya Asenga

    Hivi Mchungaji Msigwa bado yupo ALIVE?
  2. thetowerofbabel

    ICC mbona wanachelewa sana?

    Kenya ilichukua miaka 2 Madhambi yalifanyika 2008 ila case ikatajwa 2010
  3. thetowerofbabel

    PostGE2025 Samia: Hatua za kuunda Tume ya Maridhiano zimeanza

    Kule Kenya iliwachukua ICC miaka miwili watu kuitwa mahakamani The Hague
  4. thetowerofbabel

    KERO Wakazi wa DAR, PWANI na MORO wasaka maji mabondeni

    Kitambo sana bonde la mto kide kuna kinyesi cha kutosha nimeishi ubungo kibangu mwishoni mwa miaka ya tisini 1995- 2000
  5. thetowerofbabel

    Taasisi zinazopaswa kufutwa siku nchi itapata demokrasia

    Medical Council of Tanganyika - MCT Inatakiwa council ambayo haitakuwa chini ya wizara Ya Afya . Hii iende hadi kwa fani nyingine mfano , maainjinia , manesi. Waasibu nk
  6. thetowerofbabel

    Ila walimu wa shule za Serikali wanajiaibisha sana

    😂😂😂 hiyo ndo maana halisi ya 3rd world countries..
  7. thetowerofbabel

    Ardhi sio uwekezaji kwa mtu anayejitafuta

    Hiyo ni nzuri kama utajenga sehemu ambayo ina well Hiyo ni nzuri kama unajenga sehemu ambayo kuna hight demand ya nyumba ya wapangaji mfano kama gharama ya kujenga inarudi ndani ya miaka 5 sio mbaya Kwani waweza jenga njumba kwa grarama kubwa then ukapanga kwa bei ndogo Hela yako ina rudi...
  8. thetowerofbabel

    Ardhi sio uwekezaji kwa mtu anayejitafuta

    Cha msingi chukua taadhali kabla ya kununua ardhi 1. Fanya screening kujua matumizi yake mfano makazi , shule au msikiti Hiyo kazi inafanya na surveyor mi huwa natoa hata 50,00 anachukua cordinate za enea na kwenda ardhi kucheki matumizi 2. Nunua eneo ambalo halina mgogoro Huwa sinunue...
  9. thetowerofbabel

    Ardhi sio uwekezaji kwa mtu anayejitafuta

    2023 nimenunua ardhi shamba kwa tsh 33 Million asah hv nauza kwa kwa tsh 100 million mteja kapatikana Kuna eneo nilinunua kwa tsh 40 million 2019 juzi hapa wachina wamefika kwa 250 million ila sijauza kwani nina project nalo Ardhi ni uwekezaji mzuri kwa mtu ambaye hana muda wa kufanya...
  10. thetowerofbabel

    Humphrey Polepole ana codes

    Kamaliza form iv 2000 nadhani
  11. thetowerofbabel

    Ukweli usemwe; Strategists wa serikali ya Samia wapo very smart, wamefanikiwa ku counter issue ya Kanisa la Gwajima kwa viwango vya juu sana

    Tanzania ni rahisi sana kuwa Impressed Yaani hiyo issue jana ndo unaona ni akili kubwa Kwa ufupi waliharibu , especially Shehe kuongea watu kukatwa vichwa Haikuwa sehemu yake
  12. thetowerofbabel

    Kwanini Israel iliwasaidia makaburu Africa kuua watu weusi?

    Ipo hv by the time apartheid inaanza kugain momentum ilikuwa ni miaka michache tangu wayahudi wauliwe na wanazi Na wale makaburu ni jamii hizo hizo Za wanazi So jamii ya wayahudi walibidi watoe kafala watu weusi ku divert attention wao wasilengwe Hata DPP wa kupindi hicho PERCY YUTAR...
Back
Top Bottom