Recent content by thetowerofbabel

  1. thetowerofbabel

    JamiiForums Tanzania Ushauri kujenga nyumba ndogo kabla ya nyumba kubwa

    Kiwanja chako kina square meter ngapi?
  2. thetowerofbabel

    JamiiForums Tanzania Kiwanja nilichonunua Tsh. Milioni 4 kilivyonipa zaidi ya Tsh. Milioni 20

    Yes na kama unajimudu sehemu sahihi sasa kununua Ardhi ni Kimbiliji Unanunua ardhi inayofanana na shamba na sio kiwanja kama kiwanja
  3. thetowerofbabel

    JamiiForums Tanzania Dunia inashangaa ukatili wa serikali ya Tanzania

    Wametumia 20 minutes plus kuelezea
  4. thetowerofbabel

    JamiiForums Tanzania Kiwanja nilichonunua Tsh. Milioni 4 kilivyonipa zaidi ya Tsh. Milioni 20

    Mwaka Juzi kigamboni 2024 Nilinua eneo kwa 40 M ilikuwa kama eka 4 hv Nikapima viwanja kwa gharama ya kama 10 M hivi vikatoka viwanja 30 Kwa sana naviuza jumla kwa 150 M Watu wa surveyor nimewapa mkataba hadi asas hivi washauza vya sh 110 Million miezi mitatu ijayo wanamaliza mkataba Hapo...
  5. thetowerofbabel

    JamiiForums Tanzania Wapi ulienda ukakuta ardhi bei ya kutupwa?

    Hizi ndo threads ninazo zipenda!!
  6. thetowerofbabel

    JamiiForums Tanzania Wanawake wanaoomba pesa kwenye mapenzi sasa hivi ndio wanaitwa TAMISEMI?

    Wewe naona unataka wanawake waishi enzi za ujima !!!
  7. thetowerofbabel

    JamiiForums Tanzania Wanawake wanaoomba pesa kwenye mapenzi sasa hivi ndio wanaitwa TAMISEMI?

    Ila mimi huwa nakaa chini na kufikiria Hivi mimi pamoja na kuwa mwanamme napata shida kupata hela Kwa binti ambaye hana kazi je? Muda mwingine tuwaonee huruma ni umaskini tu Kumbuka mwanamke matumizi ni mengi 1.Lotion ya ngozi anukie vizuri 2. Set za nguo za ndani , mwanamme waweza kuwa na...
  8. thetowerofbabel

    JamiiForums Tanzania Huyu Johnthebaptist Yuko Wapi?

    Mtafutieni VPN ataonekana tuu..
  9. thetowerofbabel

    JamiiForums Tanzania Samia kutoswa na Kundi ambalo halikuhusika na Mauaji Wala Utekaji, ila Lina Mali na Fedha zake US na Ulaya .. Tayari Hawaruhusiwi Kuhamisha Fedha zao.

    Kitu amabacho watu hawajui na wanadhani Marekani inatania na vikwazo Marekani inataka Tanzania iwe stable siku zote 1. Ki joglafia in ukanda wa wa Bahari yenye urefu wa km 800 , inapakana na nchi nyingi Kama unavyojua na ipo strategic na ki maslahi na usalama wa Marekani Afrika Mashariki...
  10. thetowerofbabel

    JamiiForums Tanzania Miguno, vilio, sauti za mahaba vinapotea taratibu

    Yule dada wa kigoma miaka hiyo mungu amlinde.....😂😂😂😂
  11. thetowerofbabel

    JamiiForums Tanzania Wasaliti waendelea kulia na kusaga meno, sasa ni zamu ya Asenga

    Hivi Mchungaji Msigwa bado yupo ALIVE?
  12. thetowerofbabel

    JamiiForums Tanzania ICC mbona wanachelewa sana?

    Kenya ilichukua miaka 2 Madhambi yalifanyika 2008 ila case ikatajwa 2010
  13. thetowerofbabel

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Samia: Hatua za kuunda Tume ya Maridhiano zimeanza

    Kule Kenya iliwachukua ICC miaka miwili watu kuitwa mahakamani The Hague
  14. thetowerofbabel

    JamiiForums Tanzania KERO Wakazi wa DAR, PWANI na MORO wasaka maji mabondeni

    Kitambo sana bonde la mto kide kuna kinyesi cha kutosha nimeishi ubungo kibangu mwishoni mwa miaka ya tisini 1995- 2000
Back
Top Bottom