Recent content by Therealfazah

  1. Therealfazah

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ni diss track ipi kali ya muda wote Bongo?

    Mnatuza culture gani? Au ni ya kusuka rasta?
  2. Therealfazah

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ni diss track ipi kali ya muda wote Bongo?

    Unagusa busha wazee, unakuja bila tarehe, utakufa kabla ya barehe, unajicontradict Sana, unanitukana wakati unajitukana, unamtukana dada angu ambae ni dada ako pia nawe Una dada pia anapakatwa na anasaura tunaemjua adi jina anaitwa paula,😂😂😂, sidhan kama patakuja kutokea nondo kama izo
  3. Therealfazah

    JamiiForums Tanzania Umewahi kufanya biashara ikakushinda? Kwa nini? Tupe story tujifunze

    Hahaha 😂, duuuh!!! Noma iyo
  4. Therealfazah

    JamiiForums Tanzania Umewahi kufanya biashara ikakushinda? Kwa nini? Tupe story tujifunze

    Duuuh pole Sana broo, kwaiy ulishindwa kubalance unachoingiza na unachotoa inshort, asante nimenoti hii
  5. Therealfazah

    JamiiForums Tanzania Umewahi kufanya biashara ikakushinda? Kwa nini? Tupe story tujifunze

    Hujaombwa ushauri broo, elewa mada mdau
  6. Therealfazah

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Ufafanuzi wa Serikali Kuhusu Kura ya Kamati za Bunge la Ulaya (EU) Dhidi ya Tanzania

    Wanaficha ili tusione wakati tayari tushajua, utata uja tunapoaza kuwachunguza Fid q (propaganda).
  7. Therealfazah

    JamiiForums Tanzania Nimechoka kula vyakula vilevile kila siku

    Pata mchemsho wa kongosho Tu apo n maji mengi
  8. Therealfazah

    JamiiForums Tanzania Kati ya samaki wa maji chumvi/bahari na maji baridi unapenda yupi?

    Samaki ni samaki Tu, yani kama samaki samaki tu
  9. Therealfazah

    JamiiForums Tanzania Kati ya samaki wa maji chumvi/bahari na maji baridi unapenda yupi?

    We unapenda nini?
  10. Therealfazah

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ni kweli Wanaume hawapendi kuulizwa maswali haya sita kutoka kwa wenza wao?

    Kwani lazima uweke ako Ka emoji Kapaka kanacheka?
  11. Therealfazah

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Leta methali, akikosekana wa kukujibu wewe ndiye mshindi

    Unaninyaka 😂😂😂 ni kama mstari wa dizasta
  12. Therealfazah

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Leta methali, akikosekana wa kukujibu wewe ndiye mshindi

    Halina ubani ni jibu, methali yangu sasa inasema, Ukiona njigi utadhani njege na ukiona njege utadhani njigi nipeni jibu apo
  13. Therealfazah

    JamiiForums Tanzania Changamoto za uzazi: Je, tatizo ni la mwanamke pekee?

    Kwaiyo changamot ni nini sasa, kwamba wanaume tumezidisha Sana punyeto? Au ni nini
  14. Therealfazah

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hongera ARSENAL kwa kutwaa Ubingwa wa Premier League 2025/26 baada ya kupita Miaka 22

    EPL: Max dowman 1 Bruno Fernandez 0😂 Ivi hakuna namna ya kuandika zero iwe kubwa kubwa?
Back
Top Bottom