Unagusa busha wazee, unakuja bila tarehe, utakufa kabla ya barehe, unajicontradict Sana, unanitukana wakati unajitukana, unamtukana dada angu ambae ni dada ako pia nawe Una dada pia anapakatwa na anasaura tunaemjua adi jina anaitwa paula,😂😂😂, sidhan kama patakuja kutokea nondo kama izo