magar yote yanapelekwa ktk ICDV yaani bandar kavu chamsingi uwajue maagent coz wao ndo wanausika na kupeleka magar ya wateja wao nje yanchi.pita falion,chikasa,hesu,tall.diesel utapata utaratibu kutoka kwa agenties
Solution ya hiyo haipo kabisaaaaa usidanganywe tena kama imewekwa ktk black list ndo issue,wachina wanachofanya huchonga sacet mpya ambayo ni mbadala wake.
ikiwa hivi mkuu ingependeza zaidi samahani kwa editing.
Behind every strong success there is a bright woman, and behind every failure there is a kilaza woman.
ukitaka kufanikiwa jambo lolote mtumie mwanamke mwenye akili, ukitaka kufeli jambo lolote mtumie mwanamke kilaza lazima utaanguka tuuu...
still too young my dear 24!!!! unafoundation yoyote ya maisha? unakimbilia wapi? kuna dada zako wapo 30's wanakaribia menopause hao ndio wanatakiwa kuumiza kichwa, umri saahihi kwa wewe ukifika 26,27... we will support you promise
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.