La Princesa
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 1,056
- 1,188
Unataka kuolewa kwa sababu unaona umri ni sahihi?Seriously ?
Jamani hii ni mara yangu ya kwanza kuanzisha thread humu, nina umri wa miaka 24. Elimu yangu ni degree ya kwanza kwasasa nimeajiriwa kwenye kampuni moja hapa jijini mwanza, dini yangu ni rc. Ni mrefu wa wastani, rangi maji ya kunde pia sina mtoto wala cjawahi kuolewa. Kwa umri huu najitokeza kutafuta mume kigezo kikubwa awe na hofu ya mungu, awe ameajiriwa au kujiajiri. Sichagui dini wala kabila. Waishio maeneo ya kanda ya ziwa hasa Mwanza watapewa kipaumbele. Matusi na kejeri sitaki tafadhali, kama hauna hoja pita kimya kimya tu! Thanx
Jamani hii ni mara yangu ya kwanza kuanzisha thread humu, nina umri wa miaka 24. Elimu yangu ni degree ya kwanza kwasasa nimeajiriwa kwenye kampuni moja hapa jijini mwanza, dini yangu ni rc. Ni mrefu wa wastani, rangi maji ya kunde pia sina mtoto wala cjawahi kuolewa. Kwa umri huu najitokeza kutafuta mume kigezo kikubwa awe na hofu ya mungu, awe ameajiriwa au kujiajiri. Sichagui dini wala kabila. Waishio maeneo ya kanda ya ziwa hasa Mwanza watapewa kipaumbele. Matusi na kejeri sitaki tafadhali, kama hauna hoja pita kimya kimya tu! Thanx
Mkuu unataka umnawe na umchovye weeeeeee thn uondoke zako.... Nakuona the way u sound
!
!
anko huu mchango wako ulitakiwa kuja pm..................looooh ushampeperusha tena hayaaaaaa. hahahahahahahaha:angry:
nitafute mimi tuMkuu nisamehe kama nimepeperusha ndege
Mkuu ungeturahishia na kapicha tukuthaminishe isije ikawa wewe ni bibi bomba!Jamani hii ni mara yangu ya kwanza kuanzisha thread humu, nina umri wa miaka 24. Elimu yangu ni degree ya kwanza kwasasa nimeajiriwa kwenye kampuni moja hapa jijini mwanza, dini yangu ni rc. Ni mrefu wa wastani, rangi maji ya kunde pia sina mtoto wala cjawahi kuolewa. Kwa umri huu najitokeza kutafuta mume kigezo kikubwa awe na hofu ya mungu, awe ameajiriwa au kujiajiri. Sichagui dini wala kabila. Waishio maeneo ya kanda ya ziwa hasa Mwanza watapewa kipaumbele. Matusi na kejeri sitaki tafadhali, kama hauna hoja pita kimya kimya tu! Thanx
So ulitaraj akazunguke makanisa yoooote ya mwanza akijitangaza .... you can't be so seriousAya ngoja waje mwaya..all the best Ila najiuliza makanisa yote ya mwanza hamna mpaka uje huku?
Moshi nosuko ncho!Ongeza description..Nataka Kujua kama wewe ni mnene au mwembamba kama mimi.!