Viol mkuu umekuwa adim mnooo...
Umenikoshaa mkuu kuhusu mchepuko, yani ile michepuko ambayo ni benefitable....
Mchepuko upo tayari kifanya cost sharing...
Mchepuko ambao ukiuambia upo hom na wife unakuelewaaa....usipige simu
Mchepuko ambao ukifulia unakutoa...
Mchepuko ambao unajari afya yenu unakukumbusha kutumia kinga..
Mchepuko ambao haukupi stress yani hata msipo wasiliana two days kwake ni okey....
Mchepuko ambao haukusumbui mara utanioa lini?
Mungu aibariki michepuko ya aina hiii...
Nimekupenda bure....Comment zako zote hii ni miongoni comment 10 bora ambazo nilizi note kutoka kwako...in shot huwa unatoa ushauri mzuri., kwani mkeo huyo unaemlinganisha na mchepuko na unaona mchepuko ndio bora mwanzo wa mapenzi ilikuaje? Hayakuwa mashamsham?na ukawa unamuona yeye ndo yeye?hakuna kama yeye
hata huo mchepuko ukiufanya mke will be the same utauona sio wa maana tena
jifunze kumheshimu mkeo usimdharau kiasi cha kumlinganisha na mchepuko na kama unaona mchepuko ni bora
basi uamishie ndani....
nb: kama hujaoa umeamua kuchangamsha sio sawa kwa hiki ulichoandika
uwe na siku njema
Hakika Hii ni Aina ya michepuko yenye sifa za juu na zilizotukuka kabisaa
innalillahi wainna illayhi rajiu'uun
What if na mkeo ulianza nae kama mchepuko? Anakua chaguo au bado bahati mbaya?
Blaki Womani,michepuko mingine ipo kwa ajili ya kupiga mizinga daily,haina huruma na familia yako.
Yeye kila siku kuombaomba tu,kama huna kitu wala hakutafuti,
Baby Evelyn Salt mbona una maswali ya utata wewe
...nilikua naskia tu hadithi za michepuko dar..lakini hakika sasa naamini kuwa wake za watu wanatiwa sana mjini dar...hii imenitokea..pale ambapo mke wa mtu ametokea kunipenda balaa..tumejuana kwa mtandao(linkedin)....yeye akiwa mkoani ..lakini sasa ananifata hadi dar ili nimpige para....yaani anapanga kabisa safari anakuja dar nimtie...na nimempiga bao la kufa mtu...na sasa anataka kunizoea...nimeamua kukaa kando asije kuniletea balaa...yani siamini kama wake za watu wamekua cheap kiasi hiki....tena mara nyingine anakuja na pete ya ndoa kabisa...ananipa mambo balaa....mara ya mwisho alitaka kutoa hadi mku.ndu...sasa huyu mke gani....wanawake badilikeni aisee...
...nani anakataa K wewe....unless kama si rijali...acha uchuro wewe kutembea na mke wa mtu wajiona huna makosa ila yeye ndo ana makosa kweli tutafika kama wew ni mwema na hupendi hiyi tabia alivyokuja mara ya kwanza ungeripoti police arudishwe kwa mmewe tuone magazetini