Unakua Holland no sehemu tu katika nchi ya Netherland, ila ndio sehemu maarufu zaidi na eneo lenye Utajiri , Majiji kama Ya Rotterdam na Amsterdam yote yapo ktk eneo Hilo , jambo Hilo limepelekea watu wengi kuona kwamba Holland ndio Netherland. Ndio mpaka waswahili yote wakaipa jina Moja.
Tatizo lenu mnaassume kuwa ajenda zenu za watu Elf 30 wa mtandaoni , mnaona ni ajenda ya Watanzania wote .Kuna wananchi wengi sana wakawaida hawajui lolote kuhusu izo ajenda zenu , nashangaa mnawainclude wote.
Labda ukiristo Uislamu umeingia Mwambao wa Africa mashariki kabla ya kuja mreno . Vasco Da Gama alipofika Kilwa aliluta watu ni waislamu tena wenye maendeleo makubwa ktk Biashara.
Hizi ni stori za kusadikika , ni zike hekaya za vijiwe vya kahawa .Mimi nimezaliwa Pemba na bado naishi Pemba niliwahi kuskia kua izo stori zipo kisiwa kimoja kinaitwa Kojani , wanasema kua ukitaka kuoa wanakupa Samaki ule tu vile vile mpaka ummalize bila kumgeuza , wanasema ukimgeuza ni kua...
Mimi nipo Pemba jana kaja wamekuja dukani kwangu watu wa TRA na ninatakiwa kulipa kodi , hii inamaanisha kwamba mfanyabiashara wa Zbar anakatwa kodi mara 2 , ZRA na TRA . Nilikua nakukumbusha tu na hili uliandike.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.