Sio kila chakula ni ibada. Huwezi kula kutimoto ukasema hiyo ni ibada.
Kiufupi, ukiutafuta Ufalme wa Mungu kwanza, yeye atakufundisha jinsi ya kula, kunywa na kuvaa.
Vitu hivyo vitatu (tajwa hapo juu) utaweza kuvifanya kama ibada mbele zake ; kwasababu vitakuwa na maana.
I mean, huwezi kula...