Kwa kawaida shetani hukaa ktk mila desturi na tamaduni google kitabu kinachoitwa The book of Enoch, the book of God. Utajionea mkuu najua upo deep kwa kias chako ktk ulimwengu wa roho ila google hicho kitabu
Kuna wakati watu tunahangaika sana kupata pesa kwa ajili ya chakula na mambo mengine lakini mwisho tunapokipata tunakifuja, Mtu anapigana kupata hela ila unakuta nyama kilo imetupwa kisa ilinunuliwa bila mpangilio na huku mtu analalamika uchumi umekua tightShukrani sana
Ndugu, chakula sio kwa ajili ya kujenga mwili bali ni kwa ajili ya kujenga roho/Moyo wako ili uweze kuulinda mwili wako.Chakula ni ibada sababu inaupa nguvu mwili!,
Na kuna vyakula ambavyo vinakuwa na vichocheo vya homonie yofaut!,
Vyakula vya asili vinanguvu zaid sababu ni sehem ya uumbaji toka mwanzo!,
Kumwaga chakula na kula kupitiliza ni machukizo mbele za Mungu maana amesema tuwe na kiasi.
Mpe chakula mhitaji nae atashukuru maana utakuwa umeihuisha nafsi yake.
Tukumbuke kujinyima wakati mwingine katika chakula maana hufungua ufaham wetu..
Chakula ni tiba maana huwuisha cell mpya.
Tule chakula tukumbuke mwingie amekosa ulichopata ww!, tule tumbuke kwa chakula chako kuna mwingine kwenye kukianda aliumia, alitoa nguvu na jasho!, aliungua jikon au aliacha shughuli nyingine akaanda chakula chako!..Aliuza mazao yake kwa kung'ung'ika maana mtu alienda kuchukua hayo mazao alimuibia!... Au hakupata stahiki yake.
Hivyo chakula ni ibada ivyo lazima tushukuru na kubariki chakula chetu na watu watakao kula maana kimepitia process tofaut.
Ndugu, ni vyema ikafahamika hivi...., Yesu hakuja ulimwenguni kuiondoa Sheria bali kuifanya au kuifafanua zaidi ili watu waielewe.Kabra ya mambo ya walawi Mungu alibariki kila kitu na na kumpa Adam!, baada ya Yesu Christo akibariki vyote na najsi ni imtokayo mtu na si imwingiayo!.
Sio kila kitu cha faa kwa chakula nakubali ila kila chakula maana hata kuna mihogo yenye sumu!!.. Ila kila kiupacho mwili afya cha faa kwa chakula
Lakini mshana kwa kawaida Kwa mtu aliyeamua kuzama rohoni ni sawa tu ila Mungu ametupa akili so na maarifa binafsi yanatakiwa katika hilo.View attachment 360344nimeingia kidogo tu...shida moja ya elimu za kiroho ni mambo ya ajabu ya siri na ya kushangaza utakayofunuliwa kama ukienda deep sana
Na kadiri unavyozidi kwenda deep ndivyo unavyozidi kujitenga na ulimwengu wa kawaida na ndio maana wengi huishia kuishi wenyewe au maporini kwakuwa kuna vitu anaviona havipo sawa lakini akajaribu kuvielezea anaonekana mwendawazimu