Ndoa yahitaji uvumilivu, utashi na kujitoa

Ndoa yahitaji uvumilivu, utashi na kujitoa

umeegemea upande mmoja hamna wanaume wenye tabia mbaya siku hizi ni wanawake tu? ukitaka kujenga usipendelee my dear watu wote wamebadilika tizama masister duu, makaka duuu hawalei familia n.k
ndo hivyo tatizo wanawake mkuu wanaacha mtu sahihi anayempenda kwa dgati wanaenda kwa jitu lenye tabia mbaya linamzarisha halafu anamtelekeza na mtoto
ndo maana sa hivi masingo mama wamejaa tele mpk kero
na hakishakuwa singomama kwa kubadiri GIA angani hawajambo
yaan ghafra bin vuu
anakwambia sitaki kuolewa kwa sasa eti subirisubiri kwanza ushapoteza nae muda pesa nk sasa mwanamke kama huyu mwisho husngukia kwa mwanaume sio sahihi anampachika tena mimba yaab hutakuta mwanamke ana watoto wawiri au mmoja kila mtu na babaake na wote ni watoto wa zinaa sasa hakuna hata wa ndoa
 
Umemaliza...kinachotunza mahusiano ni uvumilivu tu,watu wanaachana mmoja anapochoka kuvumilia, mapenzi ya tamthilia yanaharibu sn vijana
 
Kila siku msamehewe ninyi tu..kuna makosa ya kusameheana sio yote!
 
Nilikutana na mzee mmoja akanipa lecture kuwa ndoa za siku hizi anatushangaa sana wanawake wa kizazi hiki...... Hatuna uvumilivu kabisa kabisa.... Akaniuliza kuwa Dada imagine kuwa Una kiwanja chenye hati miliki na ghafla mtu mwingine akakivamia kiwanja chako.... Je utapambana uendelee kumiliki kile kiwanja au utafunga virago umwachie mvamizi wa kiwanja chako kuendelea kumiliki kilicho chako?????

Akaniambia the same applies katika maisha haya ya ndoa... kuwa okay well unasikia kuwa mumeo anamchepuko Ndio unafungasha virago kwenda wapi???? Unaacha ndoa, Familia na watoto kuwa mchepuko aendelee kumiliki na kutawala kilicho chako????? Aliongea mengi sana sana sana mazuri tuuu.....

Dahhhhh nilimsikilizaaaa ..... Nikasema ee Mola tuwezeshe na tusaidie hekima na ujasiri katika kutendea Kazi ushauri huu...
 
Nilikutana na mzee mmoja akanipa lecture kuwa ndoa za siku hizi anatushangaa sana wanawake wa kizazi hiki...... Hatuna uvumilivu kabisa kabisa.... Akaniuliza kuwa Dada imagine kuwa Una kiwanja chenye hati miliki na ghafla mtu mwingine akakivamia kiwanja chako.... Je utapambana uendelee kumiliki kile kiwanja au utafunga virago umwachie mvamizi wa kiwanja chako kuendelea kumiliki kilicho chako?????

Akaniambia the same applies katika maisha haya ya ndoa... kuwa okay well unasikia kuwa mumeo anamchepuko Ndio unafungasha virago kwenda wapi???? Unaacha ndoa, Familia na watoto kuwa mchepuko aendelee kumiliki na kutawala kilicho chako????? Aliongea mengi sana sana sana mazuri tuuu.....

Dahhhhh nilimsikilizaaaa ..... Nikasema ee Mola tuwezeshe na tusaidie hekima na ujasiri katika kutendea Kazi ushauri huu...

kweli yahitaji vijana tuanze kubadilika hatufiki ujue sema ubishi wetu tu
 
Back
Top Bottom