Recent content by TheJungleMaster

  1. TheJungleMaster

    Mfahamu kinyonga

    Mkuu inawezekana kabisa... Sent from my RMX1971 using JamiiForums mobile app
  2. TheJungleMaster

    Mfahamu kinyonga

    Hahaha! Hili la 16 huuitaji shangazi aisee... Kama unavijua hivi viumbe na unakaujasiri unakamata tu Sent from my RMX1971 using JamiiForums mobile app
  3. TheJungleMaster

    Mfahamu kinyonga

    Mkuu umejitahidi kuuleza lakini kuna makosa mengi ya kitaalamu... Zingine ni hadithi za vile jamii zinavyoamini kuhusu kinyonga(legend/myth) yaani hazina uthibitisho kisayansi... Vinyonga hawana sumu... Wengi ni wapole(hufura midomoni na kutoa sauti pale wanapohisi hatari, baadhi yao wana meno...
  4. TheJungleMaster

    Wafahamu nyoka hatari Zaidi duniani

    Nyoka kwa ujumla wanapohisi hatari hukimbia isipokuwa pale unapombananisha akose pa kukukimbilia hapo lazima uchezee kichapo...nyoka jamii ya vipers kama akina puffader na gabon adder hawa ni jeuri hawakimbii hatari,hujifanya wamekufa ukisogea tu unachezea
  5. TheJungleMaster

    Wafahamu nyoka hatari Zaidi duniani

    Black mamba hawezi kufika ukubwa au urefu wa chatu...anaweza kufika urefu wa mita tatu na nusu
  6. TheJungleMaster

    Wauza smartphone tukutane hapa

    Nauza OnePlus 5 128Gb ,imetumika mwezi mmoja tu,mpya haina tatizo loloet.Bei 1.1M...0763496278
  7. TheJungleMaster

    Kwa wanaume: 10 dirty things ambavyo mwanamke atakufanyia ili a-boost ego yake

    Ngoja niweke na kapicha kunogesha Tahadhari picha haina uhusiano na mada tajwa
  8. TheJungleMaster

    Utamu uliojificha

    Never underestimate the power of papuchi
  9. TheJungleMaster

    Hivi ni kwanini manesi wana miondoko ya ajabu na ya kutabasamisha?!

    Dah! Mke wangu ni nesi, ngoja nifanye uchunguzi wa miondoko yake
  10. TheJungleMaster

    Wadada wa dini zote tafadhari tuoneeni huruma wenzenu tumefunga

    Wanasema ukiangalia mara mmoja bahati mbaya...tatizo unakodoa macho sana mpaka unaona chupi...huna swaumu hapo
  11. TheJungleMaster

    Kwanini Wanaume tusiopenda mpira "kabumbu" tunaonekana washamba?

    Mpira ni mateso hasa pale unapokua shabiki wa arsenal na simba kwa nyakati hizi
  12. TheJungleMaster

    Utumbuaji: Tuache Siasa Kwenye Professionalism, Sio Kila Mtumbuliwa ni Jipu!

    Wacha watumbuliwe tu maanake hamna namna watatumbuliwa tu
  13. TheJungleMaster

    Ushauri kuhusu kununua gari mark x,brevis,crown na mark ii grand

    Ngoja waje wajuzi wa mambo ,utapata ushauri mzuri
Back
Top Bottom