Ndelyaukiwa
JF-Expert Member
- Aug 8, 2016
- 267
- 347
Hv ni kwa nn mtu akiingia kweny utawala wa ccm akili zake zinapungua mpk ni zero hata km alikua ana akili Timam??
Endelea tu na maombi hawezi jibu huyu porojo nyiiiingiAkijirekebisha na kujibu vizuri mnishtue. Nko maombini
Unajua anajiona bado mvulana kumbe kibabuuuMambo anayoyafanya bw. Polepole ata hayaendani na umri wake
Nimeipenda hiyo kwa sababu ndiyo confession yenyewe the bashite style. There will never be a clean man from ccm mpk Yesu atakaporudi
.....Nimeipenda hiyo kwa sababu ndiyo confession yenyewe the bashite style. There will never be a clean man from ccm mpk Yesu atakaporudi
Akili ndogo hawawezi kumwelewa Polepole maana waandishi kanjanja wa Tz wote elimu feki