Recent content by Thejohn

  1. Thejohn

    TANZIA Singida: Watu tisa(9) wafariki, basi likigonga Lori

    Dah wapumzike kwa amani ndugu zetu
  2. Thejohn

    Mazingira gani ya hatari uliwahi kufanya mapenzi?

    dah sebuleni kwenye kochi sister kaenda kazini dem akaja Mara paaaa sister akarudi.... noma sana tendo hili
  3. Thejohn

    Ni jina gani la "classmate" wako ukilikumbuka linakuvunja mbavu

    Chovyachovya Charles a.k.a Double C.
  4. Thejohn

    Wasukuma na sukari

    wewe uliyepost hizo picha kufananisha na makabila ya watu utafungwa hayo ndio makosa ya mtandao unadhalilisha wenzako acha kabisa.
  5. Thejohn

    Wasukuma na sukari

  6. Thejohn

    Walimu 8 wakamatwa kwa kujihusisha na mapenzi na wanafunzi

    Hili ni tatizo kubwa sana kwenye shule nyingi hapa nchini, serikali ilitafutie ufumbuzi maana inauma sana kwetu tunaosomesha watoto na unaweza ukajikuta unaua mwalimu bure kutokana na ushenzi wanaofanya kwa watoto wetu tena kwa kuwalazimisha na kuwapiga viboko wanapokataa kitu ambacho watoto was...
  7. Thejohn

    Mpenzi wangu kafuma kondom chumbani kwangu

    wewe hujieshimu na mke wako humthamini unamwambia uongo katubu man
  8. Thejohn

    Waliochaguliwa kujiunga na Stashahada ya Elimu 2015/2016-UDOM

    Password ni SURNAME yako in capital letters.
  9. Thejohn

    Lowassa amfunika Magufuli Nairobi, Wasema ni kiongozi Bora

    ndugu usihukumu MTU kwani wewe huna mamlaka yoyote katika ulimwengu huu Bali ni mmoja tuu naye ni baba aliye juu hvyo anafaham zaidi kuhusu maisha ya EL
  10. Thejohn

    Lowassa amfunika Magufuli Nairobi, Wasema ni kiongozi Bora

    ndugu usihukumu MTU kwani wewe huna mamlaka yoyote katika ulimwengu huu Bali ni mmoja tuu ni baba aliye juu hvyo anafaham zaidi kuhusu maisha ya EL
  11. Thejohn

    Nahisi mbinu chafu Bodi ya mikopo ie HESLB

    hiyo ni network tuu MKUU Mimi pia imesumbua sana mwambie kufanya usiku ndo poa watumiaji wanakuwa wachache Mimi nilifanikiwa juzi
  12. Thejohn

    TANZIA: Mwandishi wa TBC, Florence Dyauli Afariki Dunia

    May her soul r.i.p our lovely sister.
Back
Top Bottom