Hili ni tatizo kubwa sana kwenye shule nyingi hapa nchini, serikali ilitafutie ufumbuzi maana inauma sana kwetu tunaosomesha watoto na unaweza ukajikuta unaua mwalimu bure kutokana na ushenzi wanaofanya kwa watoto wetu tena kwa kuwalazimisha na kuwapiga viboko wanapokataa kitu ambacho watoto was...
ndugu usihukumu MTU kwani wewe huna mamlaka yoyote katika ulimwengu huu Bali ni mmoja tuu naye ni baba aliye juu hvyo anafaham zaidi kuhusu maisha ya EL
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.