Wiki mbili zilizopita nilimtumia mdogo wangu hela ili ajaze form ya kuomba mkopo HESLB. Baada yakulipia 30000/= kwa Mpesa akapewa ID ambayo ndio password yake ya kuingia na kujaza form.
Lakini kila anapoingiza inamwambia the identity does not much wakati mwingine inamwambia the system does not recorgnize the number akajua labda ni mtandao tu sasa ni wiki ya pili bado haikubali . Deadline ya kuomba ni 30/6/2015.
Itafunguka lini? Atajaza lini? Adownload na kuprint hardcopy na kuituma HESLB lini ? Tatizo limewakuta vijana wengi tena wako mikoani huko hawana uwezo wa kuja Dar kufuatilia physically.
Wameweka namba ya simu lakini ukipiga inaita tu haipokelewi. Je hizi ni njama za makusudi za kupunguza idadi ya waombaji wa mikopo au ni nini hasa kinaendelea?
Mwenye uelewa wa jambo hili karibu tushirikishane.
Lakini kila anapoingiza inamwambia the identity does not much wakati mwingine inamwambia the system does not recorgnize the number akajua labda ni mtandao tu sasa ni wiki ya pili bado haikubali . Deadline ya kuomba ni 30/6/2015.
Itafunguka lini? Atajaza lini? Adownload na kuprint hardcopy na kuituma HESLB lini ? Tatizo limewakuta vijana wengi tena wako mikoani huko hawana uwezo wa kuja Dar kufuatilia physically.
Wameweka namba ya simu lakini ukipiga inaita tu haipokelewi. Je hizi ni njama za makusudi za kupunguza idadi ya waombaji wa mikopo au ni nini hasa kinaendelea?
Mwenye uelewa wa jambo hili karibu tushirikishane.